kadeti
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,115
- 1,105
Kuna shule moja ipo mwanza ambako mwanangu anasomea, nimeshangazwa na taharifa ya Mwalimu Mkuu wa iyo shule akiwataka Wazazi kuanza kuwaijia watoto wao shule.
Hii imetokana na kubadilika Kwa ratiba za masomo Kwa wanafunzi kwamba wanapaswa kusoma mpaka muda wa saa tatu usiku kuendana na maandalizi ya mitihani yao.
Kwakweli sikukubaliana na iyo hoja kwani ilinivurugia ratiba yangu ya maisha Kwa ujumla.
Na nikajiuliza hayo masomo ambayo mtoto wa darasa la nne anasoma ni magumu kiasi gani Cha kuitaji msuli mkubwa hivyo.
Kiasi kwamba mtoto anapotoka Shule hawezi Fanya lolote nyumbani hata homework zake..anaishia kulala tu na kachoka ballaha.
Sasa najiuliza hizi taratibu za shule za day kusoma mpaka saa tatu usiku mamlaka wanajua au mpaka paje patokee majanga ya kimaadili au watoto kufanyiwa vitendo viovu nyakati hizo za usiku...!
Hii imetokana na kubadilika Kwa ratiba za masomo Kwa wanafunzi kwamba wanapaswa kusoma mpaka muda wa saa tatu usiku kuendana na maandalizi ya mitihani yao.
Kwakweli sikukubaliana na iyo hoja kwani ilinivurugia ratiba yangu ya maisha Kwa ujumla.
Na nikajiuliza hayo masomo ambayo mtoto wa darasa la nne anasoma ni magumu kiasi gani Cha kuitaji msuli mkubwa hivyo.
Kiasi kwamba mtoto anapotoka Shule hawezi Fanya lolote nyumbani hata homework zake..anaishia kulala tu na kachoka ballaha.
Sasa najiuliza hizi taratibu za shule za day kusoma mpaka saa tatu usiku mamlaka wanajua au mpaka paje patokee majanga ya kimaadili au watoto kufanyiwa vitendo viovu nyakati hizo za usiku...!