Hivi jamani ni haki kweli Kwa wanafunzi wa darasa la nne msingi kusoma mpaka saa tatu usiku na shule ni ya day....?

Hivi jamani ni haki kweli Kwa wanafunzi wa darasa la nne msingi kusoma mpaka saa tatu usiku na shule ni ya day....?

Kuna shule moja ipo mwanza ambako mwanangu anasomea..nimeshangazwa na taharifa ya Mwalimu Mkuu wa iyo shule akiwataka Wazazi kuanza kuwaijia watoto wao shule.
Hii imetokana na kubadilika Kwa ratiba za masomo Kwa wanafunzi kwamba wanapaswa kusoma mpaka muda wa saa tatu usiku kuendana na maandalizi ya mitihani yao.
Kwakweli sikukubaliana na iyo hoja kwani ilinivurugia ratiba yangu ya maisha Kwa ujumla.
Na nikajiuliza hayo masomo ambayo mtoto wa darasa la nne anasoma ni magumu kiasi gani Cha kuitaji msuli mkubwa hivyo.
Kiasi kwamba mtoto anapotoka Shule hawezi Fanya lolote nyumbani hata homework zake..anaishia kulala tu na kachoka ballaha.
Sasa najiuliza hizi taratibu za shule za day kusoma mpaka saa tatu usiku mamlaka wanajua au mpaka paje patokee majanga ya kimaadili au watoto kufanyiwa vitendo viovu nyakati hizo za usiku...!
Nenda Kwa mwalimu mwambie wa kwangu mwisho saa nane arudi nyumbani,form four bording mwisho wa kusoma ni saa 4 usiku ,darasa la nne anapaswa kutoka saa nane .Anasoma nini maana nimeangalia mtihani wa darasa la Saba ni kujumlisha kutoa kuzidisha na kugawanya.
 
kwangu mm shule dizaini hio ni zile zenye walimu vilaza tena wabovu tena wanao bahatisha kwenye ufundishaji wao ni weupe kabisa..hawawezi kumshape mtoto akaelewa ndani ya masaa machache ila watahitaji masaa mengi kwa kutumia nguvu nyingi kumfanya mtoto amuelewe anachofundisha..watu wa hivi kiasili sio walimu bali wamefosi ualimu baada ya kufeli upande mwingine na hawa ndio wapo wengi sana mashuleni wanafanya kazi ya ualimu kwa ajili ya mshahara tu.. kwani mwalimu wa ukweli in nature hatumii nguvu kubwa kueleweka kwa wanafunzi kiasi cha kuhitaji masaa mengi..masaa mawili tu yanamtosha mwalimu wa ukweli kumshape mwanafunzi..hao wanaosoma hadi usiku na wale wanaotoka saa nane mchana matokeo yao hayana utofauti mkubwa kivile au yakalingana kabisa..kwanza mtaala mpya si umeanza na hakutokuwa na hizo mambo za ufaulu wa la saba na form two..yaani mambo ni mserereko kitonga hadi form four sasa hizo swaga za kusoma hadi usiku za kazi gani..kwa muda huo hadi usiku si bora ingekuwa elimu ya ufundi au IT wakaweze kujiajiri kuliko hio ya kukariri makaratasi ya vitabu yasiyo na impact yoyote.!
 
Kuna shule moja ipo mwanza ambako mwanangu anasomea, nimeshangazwa na taharifa ya Mwalimu Mkuu wa iyo shule akiwataka Wazazi kuanza kuwaijia watoto wao shule.

Hii imetokana na kubadilika Kwa ratiba za masomo Kwa wanafunzi kwamba wanapaswa kusoma mpaka muda wa saa tatu usiku kuendana na maandalizi ya mitihani yao.

Kwakweli sikukubaliana na iyo hoja kwani ilinivurugia ratiba yangu ya maisha Kwa ujumla.

Na nikajiuliza hayo masomo ambayo mtoto wa darasa la nne anasoma ni magumu kiasi gani Cha kuitaji msuli mkubwa hivyo.

Kiasi kwamba mtoto anapotoka Shule hawezi Fanya lolote nyumbani hata homework zake..anaishia kulala tu na kachoka ballaha.

Sasa najiuliza hizi taratibu za shule za day kusoma mpaka saa tatu usiku mamlaka wanajua au mpaka paje patokee majanga ya kimaadili au watoto kufanyiwa vitendo viovu nyakati hizo za usiku...!
Hii sio sawa....watoto wana haki pia ya kupumzika na kucheza sio kusoma mfululizo
 
Hii sio sawa....watoto wana haki pia ya kupumzika na kucheza sio kusoma mfululizo
Nilichokigundua Kwa walimu wa sasa na wamiliki wa hizi shule ni kwamba..
1.Walimu wanaowachukua wanauwezo mdogo Sana wa kuwafundisha watoto kuelewa Kwa muda mfupi...
2.Michakato kama iyo imekuwa ni vyanzo vya ziada vya mapato Kwa shule ..kwani baada ya muda utaombwa pesa Kwa ajili ya malipo ya walimu masomo ya Ziada na pesa ya chakula.
 
Mtoto wakwangu na Hela zangu Mimi ndio mwenye uamuzi Juu ya mtoto wangu,hao Sio wa kucheka nao hawataki namtoa mtoto shuleni kwao,mtoto kusoma Mpaka saa tatu kawa roboti Huyo?Shule haifai hiyo
 
Back
Top Bottom