Hivi jamani tunawaamini wazungu kweli?

Hivi jamani tunawaamini wazungu kweli?

Bustani ya Eden ilikuepo Tanzania, mkoa wa Arusha😂
Mungu alimuumba binadamu wa kwanza Tanzania.
"Ugunduzi wa fuvu la binadamu wa kwanza ulitokea saa nne asubuhi Julai 22, 1959 Olduvai George, ukifanywa na Dr.Louis Leakey na mkewe Mary"
 
Kila Mungu ana kanda yake, yaani alipotengenezwa. Yahweh alitengenezwa na waisraeli kwahiyo lazima awe na upendeleo kwa waisraeli, sijui unanielewa?

Yaani Mungu ni mhusika wa kufirika, ni kazi ya fasihi.... Ndo maana unaona Allah amekaa kiarabu hata waislamu ibada zao wanatumia kiislamu.
 
Kila Mungu ana kanda yake, yaani alipotengenezwa. Yahweh alitengenezwa na waisraeli kwahiyo lazima awe na upendeleo kwa waisraeli, sijui unanielewa?

Yaani Mungu ni mhusika wa kufirika, ni kazi ya fasihi.... Ndo maana unaona Allah amekaa kiarabu hata waislamu ibada zao wanatumia kiislamu.
😳😳kwa kweli Leo umenifumbua macho
 
Bustani ya Eden ilikuepo Tanzania, mkoa wa Arusha😂
Mungu alimuumba binadamu wa kwanza Tanzania.
"Ugunduzi wa fuvu la binadamu wa kwanza ulitokea saa nne asubuhi Julai 22, 1959 Olduvai George, ukifanywa na Dr.Louis Leakey na mkewe Mary"
Ndo ninachokupendea kwa kweli.Mulemule cute❤
 
Mungu aendelee kuifanya Tanzania ni nchi ya Amani.... Hakika Tanzania ni taifa teule la Mungu🙏
 
Bustani ya Eden ilikuepo Tanzania, mkoa wa Arusha😂
Mungu alimuumba binadamu wa kwanza Tanzania.
"Ugunduzi wa fuvu la binadamu wa kwanza ulitokea saa nne asubuhi Julai 22, 1959 Olduvai George, ukifanywa na Dr.Louis Leakey na mkewe Mary"
Ukisha kubaliana na hili basi pia ukubaliane na sayansi juu ya uumbikaji wa binadamu kuwa ana share ancestor na chimpanzee na sio anatokana na uumbikaji wa Adam!
 
Bustani ya Eden ilikuepo Tanzania, mkoa wa Arusha😂
Mungu alimuumba binadamu wa kwanza Tanzania.
"Ugunduzi wa fuvu la binadamu wa kwanza ulitokea saa nne asubuhi Julai 22, 1959 Olduvai George, ukifanywa na Dr.Louis Leakey na mkewe Mary"
Sound tu hizo
Ukisoma story Gilgamesh ndiyo utajua hiyo issue adam na eva na bustani ya edeni wayahudi walikopi kwa Wasummeria. Ni story za kusadikika.
 
Bustani ya Eden ilikuepo Tanzania, mkoa wa Arusha[emoji23]
Mungu alimuumba binadamu wa kwanza Tanzania.
"Ugunduzi wa fuvu la binadamu wa kwanza ulitokea saa nne asubuhi Julai 22, 1959 Olduvai George, ukifanywa na Dr.Louis Leakey na mkewe Mary"
Naunga mkono hoja [emoji1787][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom