HIVI JAMII FORUM WAMEANZA KULIPA KAMA KWA ELON?

HIVI JAMII FORUM WAMEANZA KULIPA KAMA KWA ELON?

Siku hizi kumekuwa na uwandikaji mwingi wa machapisho ambayo hayana/umuhimu maana kiasi yanapoteza ladha ya kukaa jukwaani
ni muhimu sana kua huru kufuatilia au kutokufuatilia maandiko ya wadau bila mihemko, chuki wala makasiriko..

hata hivyo,
ukihisi maandiko ya wadau hayana umuhimu kwako, jitahidi basi wewe kuja na bandiko zenye mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya wengine kwa faida ya wadau wa JF🐒
 
Wanaoandika ni wale wale na wanaochangia ni wale wale kila siku hamna jipya kama lipo lilete hapa tulione
sijasema natafuta jambo jipya

chuya na mawe yamezidi mpunga
 
Kuna na hili tena
basi mambo yashakuwa mengi
Jf ya leo naiogopa, ukianzisha uzi tu, sekunde umeshaingizwa kwa mwingine.

Sipendi nikosane na watu ninaowapenda, nimeamua kuishi hivi hivi.
 
Mtoa mada kama ulitaka JF iingie kwenye mfumo wako basi jua ya kwamba wewe ndiye unayetakiwa kuzama kwenye mfumo wake.

Ni hayo tu Kwa leo.
Asante kwa ya leo
kesho waza nje ya box ndoushushe koment sio kila mada lazima uchangie chagua kuwa mfatiliaji pia
 
No one has forced you to be here.

If you can't stand the heat, Log out.

Jamii forums imekupa option yaku log out.
hakuna maali nimesema nimelazimishwa kuwepo apa

mfano mtu kapanga nyumba kwako akikwambia panavuja utamjibu kodi ikiisha ondoka

asee pole
 
Anajua akianzisha hakuna atakae comment zaidi ya yeye mwenyewe kujijibu Kwa ile ID yake nyingine😂😁
hivi vijembe sasa😃😃
ID mbili za nini tena mjomba angu haiwezi kuwa serious hivi hii mitaa
 
Lazima jf ichangamshwe tutoane stress,habari ziwe mixxx lakini sio mix by yas
na ndio sababu majukwaa yako tofauti ila sasa tatizo mambo mengi mwanzo naanza kutumia Jamii forum nilikuwa napita kila jukwaa ila siku hizi naishia trending sababu iyo trending inamaliza nguvu natoka kabisa
 
ni muhimu sana kua huru kufuatilia au kutokufuatilia maandiko ya wadau bila mihemko, chuki wala makasiriko..

hata hivyo,
ukihisi maandiko ya wadau hayana umuhimu kwako, jitahidi basi wewe kuja na bandiko zenye mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya wengine kwa faida ya wadau wa JF🐒
"bila mihemko, chuki wala makasiriko.."

kuhoji kwangu wewe umeona chuki mihemko na makasiriko.
Kwa heshima ya maisha nje ya keyboard apa nachagua kukaa kimya
 
Mexence akianza kutulipa humu hakutakalika, inaweza[Jf] kugeuka kuwa kapu la vitu vya ajabu. Ila kuna mashindano ya Uandishi wa machapisho, ukishinda unajipatia Tsh. Milioni kadhaa 💵💵💶💸
 
"bila mihemko, chuki wala makasiriko.."

kuhoji kwangu wewe umeona chuki mihemko na makasiriko.
Kwa heshima ya maisha nje ya keyboard apa nachagua kukaa kimya
hekima imekuelekeza kuchagua kilicho bora kabisa,

well done gentleman 🐒
 
Mexence akianza kutulipa humu hakutakalika, inaweza[Jf] kugeuka kuwa kapu la vitu vya ajabu. Ila kuna mashindano ya Uandishi wa machapisho, ukishinda unajipatia Tsh. Milioni kadhaa 💵💵💶💸
Pale kwenye story of change watu wanaandika kwa kweli
 
Back
Top Bottom