Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya imekaa vizuriKwa ngazi ya degree kisheria mwisho huwa ni 30, lakini ukiwa na connection hata 35 unazama.. and yes bila cheti cha jkt unaweza zama kama una mtu mzito nyuma yako.
Infact,Mambo yanakwendaje wadau kwa mtu ambae tiyari ni degree holder na ana passion ya kwenda jeshi ni umri gani wa juu wa mwisho jeshi Lina chukua recruit!
Na kama huna cheti cha Jkt je mafunzo ya Jwtz? Unaweza ruhusiwa kujiunga?
Haiwezekani mzee usipo pitia depo we mwenyewe hiyo kazi hautaweza kufanyaSio tu kuingia huko unaweza kupata hata Kazi bila kwenda depo.
Kuna kijana Aliingiziwa jeshi moja na hakwenda depo yoyote so inawezekana kabisa.
AiseeHaiwezekani mzee usipo pitia depo we mwenyewe hiyo kazi hautaweza kufanya
Exactly.Infact,
kati ya 2012-2014 waliajiriwa jeshini professionals wenye hadi wenye over 30 years and below 45 years.
Hiyo ni kumaanisha, pakiwa na uhitaji huo kwa wakati muafaka 🐒
Kama kuna mtu Ana nyota moja anaweza kumpigia pande akaingia huko ?Tafuta mtu akushike kama upo mtaani tena awe mzito na pia awe mnjanja anajua chocho za kupita unaingia
Kua makini sekta ya kuingiza watu jeshini Ina matapeli wengi Sana,Kama kuna mtu Ana nyota moja anaweza kumpigia pande akaingia huko ?
Yupo mtu ni mshikaji wangu Ila sijawahi kumuuliza hizo habari nawaza njia ya kumsaidia kijana kupitia influence yangu.
Kweli kaka.Kua makini sekta ya kuingiza watu jeshini Ina matapeli wengi Sana,
Uwezo anao ila awe mjanja sana kumbuka huyo anatoka mtaani sio jkt ila uwezo anao ishu nikuongea tuKama kuna mtu Ana nyota moja anaweza kumpigia pande akaingia huko ?
Yupo mtu ni mshikaji wangu Ila sijawahi kumuuliza hizo habari nawaza njia ya kumsaidia kijana kupitia influence yangu.
Yeye yupo Kwa wale jamaa wa karoti nadhani ushawajua .!Uwezo anao ila awe mjanja sana kumbuka huyo anatoka mtaani sio jkt ila uwezo anao ishu nikuongea tu
Ongea nae mapema usimshtukize mtuYeye yupo Kwa wale jamaa wa karoti nadhani ushawajua .!
So nawaza kuongea nae ili wakitoa nafasi nimuombee huyu mdau mwenye age 30.
Sawa kaka nitamwambia mapema Sana.Ongea nae mapema usimshtukize mtu
Ni kweli kuwa askari ni mafunzo kijeshi huwezi kupata title ya uaskari kama hujapitia depoHaiwezekani mzee usipo pitia depo we mwenyewe hiyo kazi hautaweza kufanya