Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nami nimo, yote lengo ni kuficha identity kwa fake information.Bora umelijua hilo mapema
Humu mtu anaweza kukwambia yeye ni Jobless kumbe ni boss wako kazini
Ama mtu akasema anaendesha BMW kumbe yupo na baiskeli ya Phoenix
Ama ukaambiwa ni Mzee wa miaka 65 kumbe ni dogo wa miaka 23 π
Aisee...Mm nilitamba humu kuwa nimepata mke, cha ajabu saivi naona status tu kavishwa pete ya uchumba [emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu πMm nilitamba humu kuwa nimepata mke, cha ajabu saivi naona status tu kavishwa pete ya uchumba πππ
Atapata?Aisee...
Pole mkuu...
Utapata tu...
Mimi huyu mama mchungaji changanya na baba mchungaji zitaiva kweli [emoji1787][emoji1787]Atapata?
Yupi zaidi ya wewe?[emoji28]
Zitaiva tu au uje huku nikuvuruge mpaka uanze clinic ya afya ya akili πMimi huyu mama mchungaji changanya na baba mchungaji zitaiva kweli [emoji1787][emoji1787]
Uko sahihi Mkuu, JK aliwahi kusema za Kuambiwa changanya na zakoNami nimo, yote lengo ni kuficha identity kwa fake information.
Mimi huwa nachukua la muhimu tu mengineyo siyajali.
Mkuu wewe robot hukuliiiiii utamu?Sawa sawa mkuu
Hakukosea, ukiyachukua mambo kama yalivyo ni kipengeleUko sahihi Mkuu, JK aliwahi kusema za Kuambiwa changanya na zako
Hakika MkuuHakukosea, ukiyachukua mambo kama yalivyo ni kipengele
Cha ya maziwa hiiπ€£π€£Kuna siku humu kuanzia asubuhi mpaka jioni ni nyuzi za kutendwa tu. Wengine usiku...wanakuja na kataa ndoa. Ni mwendo wa kupigana matukio tu.
Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.
Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.
Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?
Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.
Naunga mkono hoja ππBora umelijua hilo mapema
Humu mtu anaweza kukwambia yeye ni Jobless kumbe ni boss wako kazini
Ama mtu akasema anaendesha BMW kumbe yupo na baiskeli ya Phoenix
Ama ukaambiwa ni Mzee wa miaka 65 kumbe ni dogo wa miaka 23 π
Nitaongea mwanasheria wangu akifikaMkuu wewe robot hukuliiiiii utamu?
Hushindi ndani uchi na love of your life mkikunana vipele?
πNaunga mkono hoja ππ
SawaaaNitaongea mwanasheria wangu akifika