Hivi JF hakuna tunaokula utamu wa mapenzi?!

Ewaaaaaa haaaa haaaa inabidi wazee wa baraza wapewe mrejesho
 
Kweli Wana wa Israel wametukosea sana

Malalamiko chanzo ni wao

Mauaji ya ndugu wa damu chanzo ni wao

Kuna mtumishi hapa jirani yangu amenikumbusha hata suala la kuchepuka walianza wao pia πŸ™ŒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Tunaokula utamu wa mapenzi tupo sana tumetulizana, muda wa kupiga kelele tunaupata wapi?

Hebu ngoja kwanza nimtafute kaka mzuri nimeshammiss tayari.
kumbe bado hujaolewa
 
Kweli Wana wa Israel wametukosea sana

Malalamiko chanzo ni wao

Mauaji ya ndugu wa damu chanzo ni wao

Kuna mtumishi hapa jirani yangu amenikumbusha hata suala la kuchepuka walianza wao pia πŸ™ŒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Anakupeleka ofsini ili ahakikishe umefika afanye yake. Na video call pia.
.
.
.
I'm kidding! enjoy kupendana raha.
 
Napenda kushinda uchi na kulala uchi mimi jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…