OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #61
Ewaaaaaa haaaa haaaa inabidi wazee wa baraza wapewe mrejeshoHuwa nasemaga humu, walio kwenye ndoa kutwa kulalamika wananyimwa unyumba, siku wakipewa wala hawasemi Leo nimepewa.
Ila ndo nature ya binadamu, tunakumbuka mabaya kuliko mazuri.....Mume apewe unyumba mwaka mzima, akinyimwa wiki moja vikao hadi Kwa wazee wa Baraza.....na akianza kupewa upya harudi Kwa wazee aseme jamani nishaanza kupewaπ€£π€£π€£π€£
Kweli Wana wa Israel wametukosea sanaNa hayo ndio mapenzi, hayawezi kuwa yamenyooka siku zote, kuna moment zake tamu balaa hadi unatamani upate appointment na Rais ukamuhadithie π
Anachokisema OKW BOBAN SUNZU ni hali kutwa malalamiko humu as if hakuna watu ambao wameyapatia, nadhani hii ni nature ya binadamu ambao muasisi wa malalamiko kwa mujibu wetu sisi wakristo ni wana Wa Israel π
Binafsi naenjoy siku zote changamoto zilizopo ni za kawaida sana ambazo hata mtoto mdogo anaweza kuzitatua.
kumbe bado hujaolewaTunaokula utamu wa mapenzi tupo sana tumetulizana, muda wa kupiga kelele tunaupata wapi?
Hebu ngoja kwanza nimtafute kaka mzuri nimeshammiss tayari.
Yes, ila nina mtu tayari.kumbe bado hujaolewa
ππππKweli Wana wa Israel wametukosea sana
Malalamiko chanzo ni wao
Mauaji ya ndugu wa damu chanzo ni wao
Kuna mtumishi hapa jirani yangu amenikumbusha hata suala la kuchepuka walianza wao pia πππππ
π π πππππ
Napenda kushinda uchi na kulala uchi mimi jamanKuna siku humu kuanzia asubuhi mpaka jioni ni nyuzi za kutendwa tu. Wengine usiku...wanakuja na kataa ndoa. Ni mwendo wa kupigana matukio tu.
Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.
Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.
Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?
Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.