Teh teh teh.... Kumbe ndio maana unaogopa kulala! unahisi ukilala utaendelea kukata miguu ya ng'ombehahahaha leo nimeota nyumban tunafuga ng'ombe nimeamka nikazikata zote miguu usiku, sijui inamaana gani hii ndoto
Kasome kwanza international date linea utapata majibu!Ni saa nane kasoro saiz na naona watu bado wapo online najiuliza kinachowafanya wasilale ni kitu gani?
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nasubiri daku saa11
Juu ya wenzenu kwenye msimamo wa ligi ya ndondo cup? yaani hiyo ndio inawafanya msilale? nahisi mtakuwa mnawangiana aiseeWengine tupo juu ya wenzetu saa hizi
Unamsongo wa mawazo mkuu? maana sioni sababu nyingineMm sina usingizi na nipo kitandani toka saa 5...[emoji17][emoji17]
Lala ndugu utakwamisha mipango Wa watu[emoji3] [emoji3]Mwingine tena kafungulia maji anaoga, dah jamani usiku wote huu au anaogea dawa
Bora wewe saa5 mi kuanzia saa1 na nashangaa silali kabisaMm sina usingizi na nipo kitandani toka saa 5...[emoji17][emoji17]
Mkuu umelala kweli?We muongo! Mbona mimi nimelala
Nimeenda kumchungulia kaingia chooni fasta [emoji12] [emoji12] [emoji12]Lala ndugu utakwamisha mipango Wa watu[emoji3] [emoji3]
Kama umeenda kumchungulia atajua labda na ww mwanga member mwenzio maana huu ndo unaitwa usku Wa manane sio rahsi kukuta MTU anarandaranda lazma umkamate uchawiNimeenda kumchungulia kaingia chooni fasta [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwanini ajifiche chooni sasa, halafu nikachonipa wasiwasi ni kuoga saiz huku marangu kuna baridi kali sana so sijamuelewa jamaa au labda hajakatwa goviKama umeenda kumchungulia atajua labda na ww mwanga member mwenzio maana huu ndo unaitwa usku Wa manane sio rahsi kukuta MTU anarandaranda lazma umkamate uchawi
duh wew ujafunga na uitimize nia yako ya kula daku saa11Nasubiri daku saa11
Kuna jamaa kapendekeza kwenye mgao apewe Noah nyeusi namba 'D'Mkuu mi tangu tuahidiwe Noah za makinikia sijawahi pata usingizi
Nasubiri gawio langu make waweza lala kuamka unakuta Bwana yule kashagawa makinikia za Noah