HIVI JF WATU HUWA HAWALALI

Wewe utakuwa mpare, ugali na dagaa mmoja
Mpaka na burudani ya wimbo unataka uletewe kwa maandashi! Noma sana
Hapana Mkuu Nina matatizo sisikii vizuri.


Kama VIP tuandikie hayo mashairi basi
 
Naona nyote mmelala. Hahahaaaaa Ama kweli ngoma ya watoto haikeshi
 
Wengine akina sisi tupo kwenye nchi ya Trump wakati wew uko kwenu kolomije ni usiku uku kwetu muda huu ni mchana kwaio tusipangiane muda wa kuchart ndugu
 
Ukweli ni kwamba member wengi wanaishi ughaibuni na hutokea wakati bongo ni usiku wa manane wengine ni mchana
Pia kuna akina mshana jr [emoji3] ambao kwao usiku ndo mchana
Hivyo basi jf lazima iwe busy muda wote
 
Waweza ulale ukiamka umehamishwa room umepelekwa nje, kumbe ulipokuwa umelala mwanzo pana madini wenzako wanakuchimbia
 
Watu hawalali kwa sababu zao mbalimbali wanazozijua wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…