Hivi John Mnyika angekuwa na Digrii ingekuwaje? Kama ana six na ana nondo kali kama hizi?

Hivi John Mnyika angekuwa na Digrii ingekuwaje? Kama ana six na ana nondo kali kama hizi?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
The guy is good.

MwananchiNews nimesoma kwenye habari yenu kuwa mmenipigia sikupokea. Fahamuni tu kuwa wakati mnapiga nilikuwa naendesha mafunzo ya Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi Chademawz Mkoani Tabora.

Ingekuwa vyema kwa jitihada zenu hizo hizo mkawauliza @tanpol kwanini hawajatoa mwito wa maandishi wala kueleza sababu za kuniita mpaka hivi sasa iwe kwangu au kwa mawakili wetu na iwapo wanamuita John Mnyika binafsi au kwa nafasi yake ya Katibu Mkuu CHADEMA.

Soma Pia: Wakili CHADEMA athibitisha Mnyika kuitwa Polisi Kinondoni, RPC asema hana taarifa

1000036247.jpg
 
Polisi hawa wa Tanzania mbona hawana aibu?!!!

Hivi aibu na elimu vinaendana?!
Ukiwa na elimu duni na aibu unakosa!?

Viongozi wa CHADEMA wamewatuhumu Polisi kwa kumiliki karakana za kutesea watu na Wametaja majina ya Polisi Watekaji na watesaji!

Sasa Polisi hawa hawajajisafisha kwa kutoa maelezo ya kina kuhusu tuhuma hizi lakini wanakimbilia kuanza kumuita John Mnyika aende wakamuhoji?! Kwa credibility ipi?!

Hapo Kenya tu hivi majuzu tumeona IGP wao Koome amejiuzuru kwa kushindwa kusimamia vizuri maandamano ya Gen Z kwa Polisi kuua waandamanaji!!

Hapa kwetu Polisi wanatuhumiwa kuteka,kutesa na kuua raia lakini bado IGP wetu bila aibu anasema hali ni shwari!
Only ktk Jamuhuri ya Mazwazwa!!

Mhe.John Mnyika watu wenye akili bado wanakuhitaji, chukua tahadhari ikibidi USIENDE!!
 
Mnyika ana elimu ya Chuo kikuu japo hakumaliza kupewa degree ! Ana Elimu ya Chuo kikuu kwa miaka kadhaa ndo maana baadhi ya vyuo ukiacha njian masomo wanakupa certificate fulan kwa level ulofika !

Mnyika alisoma UDSM Ila hakufanikiwa kumaliza Mwaka wa MWISHO

Ila baadae alisoma katika vyuo vingine
 
Ana degree amesoma UDSM tusipende kuzungumza mambo tusiyo na uhakika nayo
 
Polisi hawa wa Tanzania mbona hawana aibu?!!!

Hivi aibu na elimu vinaendana?!
Ukiwa na elimu duni na aibu unakosa!?

Viongozi wa CHADEMA wamewatuhumu Polisi kwa kumiliki karakana za kutesea watu na Wametaja majina ya Polisi Watekaji na watesaji!

Sasa Polisi hawa hawajajisafisha kwa kutoa maelezo ya kina kuhusu tuhuma hizi lakini wanakimbilia kuanza kumuita John Mnyika aende wakamuhoji?! Kwa credibility ipi?!

Hapo Kenya tu hivi majuzu tumeona IGP wao Koome amejiuzuru kwa kushindwa kusimamia vizuri maandamano ya Gen Z kwa Polisi kuua waandamanaji!!

Hapa kwetu Polisi wanatuhumiwa kuteka,kutesa na kuua raia lakini bado IGP wetu bila aibu anasema hali ni shwari!
Only ktk Jamuhuri ya Mazwazwa!!

Mhe.John Mnyika watu wenye akili bado wanakuhitaji, chukua tahadhari ikibidi USIENDE!!
Hao hao unaosema awana akili ndiyo wamekufanya uwe na amani ya kuandika hayo. Nadhani kuna haja ya kujitadhimini kaika mawazo yetu kuhusu jambo flani
 
Back
Top Bottom