Hivi John Mnyika angekuwa na Digrii ingekuwaje? Kama ana six na ana nondo kali kama hizi?

Hawa ndo tunatakiwa kujifunza vitu vidogo vidogo kutoka kwao, wakili wake anasema akirudi atampeleka akasikilizo wito hapo hapo aliyeitwa anasema hakuna barua ya wito iliyoeleza sababu za kuitwa.

Swali langu, utaratibu ukoje ni lazima uitwe kwa barua au hata kwa simu au ukiona taarifa kwenye social media tu inatakiwa uitikie wito?
 
Mimi na wewe hatujui.
 
Ndo maana chadema inaharakati za kishule shule kumbe inaongozwa na form 6 na diploma ya mbowe
Kwa hapa Tanzania hakuna tofauti ya maana kati ya PhD holder na standard 7 leaver. Tena hao wanajiita wasomi ndio wamekuwa chawa wa ajabu.
 
Hao hao unaosema awana akili ndiyo wamekufanya uwe na amani ya kuandika hayo. Nadhani kuna haja ya kujitadhimini kaika mawazo yetu kuhusu jambo flani
Kwani wanafanya kama hisani, ama ni wajibu wao ili wapate mshahara? Na bado wanaifanya kazi hiyo kwa ufanisi duni mno.
 
Kwani wanafanya kama hisani, ama ni wajibu wao ili wapate mshahara? Na bado wanaifanya kazi hiyo kwa ufanisi duni mno.
Kwahiyo ulitaka waifanye bila malipo? Hivi shida ni nini?
 
K
Kujitambua siyo kusoma chuo kikuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…