GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo Mkude aliamini kabisa kuwa akienda Yanga SC atamtoa Khalid Aucho, Mudathir Yahaya na atashindana Kiuwezo na Salum Abubakary 'Sure Boy' na atapambana na Mgeni anayekichafua katikati huku akiwa na Mapafu ya Mbwa Pacome Zouzou achilia mbali Zawadi Mauya?
Mkude kweli Akili hana yaani kama Yanga SC imethubutu Kumuacha Kiungo Bora wa Ukabaji ambaye Mkude hamfikii hata kwa 50% aitwae Yannick Bangala kwakuwa hatoweza Kushindana na hawa Wachezaji mahiri wa Yanga SC niliowataja na huyu Mpya Pacome Yeye Mkude alijua kuwa atatoboa na kupata namba Kikosi cha Kwanza?
Hana Akili.....!!
Mkude kweli Akili hana yaani kama Yanga SC imethubutu Kumuacha Kiungo Bora wa Ukabaji ambaye Mkude hamfikii hata kwa 50% aitwae Yannick Bangala kwakuwa hatoweza Kushindana na hawa Wachezaji mahiri wa Yanga SC niliowataja na huyu Mpya Pacome Yeye Mkude alijua kuwa atatoboa na kupata namba Kikosi cha Kwanza?
Hana Akili.....!!