Hivi kama nchi tumeshindwa kabisa kutengeneza mbolea?

Hivi kama nchi tumeshindwa kabisa kutengeneza mbolea?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Katika utengenezaji wa mbolea kitu kigumu kupata ni Phosphate. Hii haiwezi tengenezwa kama material zingine za mbolea, Nitrates nk. Phosphate huchimbwa. Duniani nchi inayoongoza kwa kuwa na phosphate nyingi ni Morocco. 75% ya phophate yote duniani ipo Moroco. Tani bilioni 50.

Mazao yanapokua, yanaondoka na phosphate(Phosphorous) ardhini. Ardhi inachoka na kuishiwa rutuba.

Lakini Mungu hajatutupa na sisi. Tanzania tuna Phosphate Minjingu ya tani milioni 10. Ipo Mbeya karibu na uwanja wa Songwe, tani zaidi ya milioni 300. Na nyingine ipo huko mkoa wa Songwe.

Kwa nchi inayotegemea kilimo, kuna kitu muhimu kuliko kuzalisha mbolea? Kazi inayotakiwa ni kuichimba na kuiprocess ifae kwa mbolea. Hatuwezi kufanys hii kazi? Huko Morocco serikali ndiyo inamiliki mgodi/migodi ya phosphate, ni jambo nyeti.

Kama nchi tuache kelele za bei ya kuagiza mbolea, nani kaagiza nk nk. Tuzalishe mbolea hapa nchini. Serikali ihakikishe mbolea inazalishwa kwa ufanisi.
 
Katika utengenezaji wa mbolea kitu kigumu kupata ni Phosphate. Hii haiwezi tengenezwa kama material zingine za mbolea, Nitrates nk. Phosphate huchimbwa. Duniani nchi inayoongoza kwa kuwa na phosphate nyingi ni Morocco. 75% ya phophate yote duniani ipo Moroco. Tani bilioni 50.

Mazao yanapokua, yanaondoka na phosphate(Phosphorous) ardhini. Ardhi inachoka na kuishiwa rutuba.

Lakini Mungu hajatutupa na sisi. Tanzania tuna Phosphate Minjingu ya tani milioni 10. Ipo Mbeya karibu na uwanja wa Songwe, tani zaidi ya milioni 300. Na nyingine ipo huko mkoa wa Songwe.

Kwa nchi inayotegemea kilimo, kuna kitu muhimu kuliko kuzalisha mbolea? Kazi inayotakiwa ni kuichimba na kuiprocess ifae kwa mbolea. Hatuwezi kufanys hii kazi? Huko Morocco serikali ndiyo inamiliki mgodi/migodi ya phosphate, ni jambo nyeti.

Kama nchi tuache kelele za bei ya kuagiza mbolea, nani kaagiza nk nk. Tuzalishe mbolea hapa nchini. Serikali ihakikishe mbolea inazalishwa kwa ufanisi.
Minjingu ilishaliwa na mchwa kwani
 
Mbolea hilo kubwa, tumeshindwa tu hata kuwajengea watoto wa kike wanaotembea wanaopanga vijijini vyumba hata hosteli za tope na nyasi Ili wasipange vijijini Ili wasipigwe mimba na bodaboda ndo kutengeneza mbolea tutaweza.
 
Wazo lako Ni zuri Sana Ila haliwezi kueleweka kwa wenye mamlaka,Afrika Ina ombwe kubwa Sana la viongozi,ili TANGANYIKA ipae kiuchumi ni lazima tu i restore/backup,tuanzie pale Ambapo TANU inaitwa T.A.A

Here in Africa we choose village fools into offices.
Mpumbavu hawezi kuzitumia rasilimali ili zinufaishe Umma,yeye hufanya Jambo kwa maslahi yake binafsi.
 
Nimeangalia huko nimeona kuna kazi inafanyika. Ngoja tusubiri.

 
Wazo lako Ni zuri Sana Ila haliwezi kueleweka kwa wenye mamlaka,Afrika Ina ombwe kubwa Sana la viongozi,ili TANGANYIKA ipae kiuchumi ni lazima tu i restore/backup,tuanzie pale Ambapo TANU inaitwa T.A.A

Here in Africa we choose village fools into offices.
Mpumbavu hawezi kuzitumia rasilimali ili zinufaishe Umma,yeye hufanya Jambo kwa maslahi yake binafsi.
Mna lawamaaa
Wkt hamjatafiti

Atawaumbua Bashe
 
Tuache kusifiana kinaa tupeane taarifa sahihi wapi na hatua gani imefikiwa Kwa manufaa ya taifa na isiwe Kwa manufaa ya ule ukoo uliokuwa na kugeuka panyaroad
Tizama hapo juu kuna mtu kapost
 
Katika utengenezaji wa mbolea kitu kigumu kupata ni Phosphate. Hii haiwezi tengenezwa kama material zingine za mbolea, Nitrates nk. Phosphate huchimbwa. Duniani nchi inayoongoza kwa kuwa na phosphate nyingi ni Morocco. 75% ya phophate yote duniani ipo Moroco. Tani bilioni 50.

Mazao yanapokua, yanaondoka na phosphate(Phosphorous) ardhini. Ardhi inachoka na kuishiwa rutuba.

Lakini Mungu hajatutupa na sisi. Tanzania tuna Phosphate Minjingu ya tani milioni 10. Ipo Mbeya karibu na uwanja wa Songwe, tani zaidi ya milioni 300. Na nyingine ipo huko mkoa wa Songwe.

Kwa nchi inayotegemea kilimo, kuna kitu muhimu kuliko kuzalisha mbolea? Kazi inayotakiwa ni kuichimba na kuiprocess ifae kwa mbolea. Hatuwezi kufanys hii kazi? Huko Morocco serikali ndiyo inamiliki mgodi/migodi ya phosphate, ni jambo nyeti.

Kama nchi tuache kelele za bei ya kuagiza mbolea, nani kaagiza nk nk. Tuzalishe mbolea hapa nchini. Serikali ihakikishe mbolea inazalishwa kwa ufanisi.
Haswaa mimi mkulima nalia mbolea zilivyo bei juu.
 
Back
Top Bottom