Hivi kama Serikali kutumia polisi wanataka matatizo ya wananchi wasikilizwe wapi?

Hivi kama Serikali kutumia polisi wanataka matatizo ya wananchi wasikilizwe wapi?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Vilio vya wananchi vimekuwa vingi sana mpaka wabunge wa CCM naona kama pale dodoma ni kujaza vyoo vya dodoma.

wananchi ndio viongozi wao ila leo mpaka mawaziri wakiongea kwa kejeli kuwa wanajitka,hakuna kosa kwenye serikali kukosea,TRA siyo tatizo.

ili litafikia mwisho kwa nchi zilizochoka.

JF mnapenda kufuta na kufanya mada isiwe na watu?
 
kama nchi tuna safari ndefu sana ,maana sio kwa haya mambo
 
Back
Top Bottom