johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Umeshafika isimani?Jimboni kongwa kwa spika Ndungai ndipo kwenye umasikini wa kutisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshafika isimani?Jimboni kongwa kwa spika Ndungai ndipo kwenye umasikini wa kutisha sana
Ukisikia jitu pumbavu ni wewe, uchaguzi unakuja angalia wagombea watakaosimama, usiangalie chama, chama hakiwezi kukusaidia lolote. chagua mtu.Tuondoleeni Mzigo Jumbo la MLALO
Huyu kijana ni arrogancy. Hawezi kutusaidia. Historia ya vizaz na vitukuu mlalo ni ccm. Tutoleeni Shemeji
Hilo kata ya kawe DSM,nasikia aliyeshinda Kura za Naomi kwa udiwani kata ya kawe DSM...Hiyo jamaa Ni "Teja".Anakula unga Ni hatarii,Ni mzinzi Ni hatarii.Kahonga wajumbe karibu wote kwa pesa nyingi.