Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
DuuhSahau kumaliza muda wake,walishabadili katiba!!
Kumbe nae Chawa?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.......
As long as Motsepe na Infantino wanatawala CAF na FIFA. Karia tunaye sana........
Amejua kujisogeza kwa mabosi, wanampenda.
Kaka Mpira wa Bongo umekua coz ya issue ya mda sio kwa issue ya Uongozi wa Mtu ndio maana unaona maendeleo sio makubwa.Mbn kuna wanasema ki Takwimu soka letu na ligi vimekuaa chini ya uongozi wake
Kiongozi Bumunda wa Soka.Ameshajitengenezea tayari mazingira ya kutawala milele. Maana wajumbe wote amefanikiwa kuwaweka mfukoni mwake.
Nashukuru Roho yangu imesuzika kumbe Mwakan tu?? Asante Mungu.Karia muda wake unakwisha May, 2025. Na hatapaswa kugombea tena kwa mujibu wa katiba ya TFF. Mpaka kufikia mwakani muda wake utakapokuwa umekwisha Karia atakuwa amehudumu kwa miaka nane, ikiwq ni vipindi viwili vya miaka minne minne.
Kwa wale ambao hatukuwahi kumkubali Karia na kuchoshwa na uongozi wake, kwa sasa tuna wajibu huu.
1. Kuwa wavumilivu ili Karia amalize muda wake, tusimpe sababu ya kuvuruga mambo ili atengeneze sababu ya kuendelea kukaa pale hata mwezi mmoja mbele.
2. Tuanze kuwajadili na kutengeneza njia kwa wagombea bora wa nafasi ile sasa. Tusipofanya hivyo, machawa wa Simba, Yanga na CCM watatutengenezea wakina Karia wengine na tukajikuta tunawapa nafasi tena.
3. Tuanze kupiga kelele na kukosoa vikali ubovu wa Karia na wapambe wake ili wachokwe kabisa na kukosa sababu ya kubadilisha kanuni, katiba itakayofanya waendelee kukaa pale au kurejea kwa mlango wa nyuma kupitia uchaguzi.
Kama chama hivyo tulia tu.Habari wanajukwaa la sports.
Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia anamaliza lini uongozi wake anisaidie.
Nataka kujua tu sina influence yeyote ya kusema nitagombea hata..ila nataka kujua maybe moyo wangu utapoa nitauambia vumilia haya maumivu ya kuona TFF mbovu kwenye kila maamuzi sio mda yataisha.
Au takua ana nafasi ya kugombea tena?🤔
Washabadili vifungu, jamaa bado yupoyupo sanaNashukuru Roho yangu imesuzika kumbe Mwakan tu?? Asante Mungu.
Chawa wa kina Motsepe huyo....Kumbe nae Chawa?
Mda mbona haujaleta maendeleo Uganda, kenya na kwingineko?Kaka Mpira wa Bongo umekua coz ya issue ya mda sio kwa issue ya Uongozi wa Mtu ndio maana unaona maendeleo sio makubwa.
Nikuelekeze kitu kidogo.
Maendeleo yoyote dunian hua yanaletwa na vitu viwili.
1.Uongozi au Taasis Imara.
Ukifeli Uongozi au kukiwa hakuna Taasis Imara badi
2.Mda(Time) utaleta maendeleo.
Mfano sisi Tanzania Maendeleo tuliyonayo kama Nchi yanaletwa na Mda sio Viongozi..The same to soka letu.
Jibu ni simple bado mda haujafika..Mda mbona haujaleta maendeleo Uganda, kenya na kwingineko?
Kwani ni nini tumefanya kwenye soka letu ambacho kenya hawajafanya? Ubora wa the cranes unaweza fananisha na taifa stars?Mda mbona haujaleta maendeleo Uganda, kenya na kwingineko?
Life presidentSahau kumaliza muda wake,walishabadili katiba!!
DuhWashabadili vifungu, jamaa bado yupoyupo sana
Well Cranes na Stars walikuwa kundi moja, stars Alifuzu You know what happened to Cranes sina haja ya kusema.Kwani ni nini tumefanya kwenye soka letu ambacho kenya hawajafanya? Ubora wa the cranes unaweza fananisha na taifa stars?
DuuhLife president
Life president
Tutaisoma namba😁
Hiyo kufuzu ni mara moja tu tena tumefuzu kwa msaada wa algeria, pia ile ya nyuma tulifuzu kwa msaada wa ugWell Cranes na Stars walikuwa kundi moja, stars Alifuzu You know what happened to Cranes sina haja ya kusema.
Sijawahi ona Vilabu vya kenya na Uganda vikiwa consisntent kwenye Continental Comp.
Nimeona kwa Tanzania.
Kwa taarifa yako hao wakenya hadi wameshakuwa mabingwa kabisa kwenye kombe la vilabu barani afrikaWell Cranes na Stars walikuwa kundi moja, stars Alifuzu You know what happened to Cranes sina haja ya kusema.
Sijawahi ona Vilabu vya kenya na Uganda vikiwa consisntent kwenye Continental Comp.
Nimeona kwa Tanzania.