Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Ulishawahi kujiuliza, kwa nini JPM alibaki na Kasesera ambaye ni mwandani lia lia wa Benard Membe?!
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka upande ule?!
Kwa nini JPM alimrejesha RAS yule kuwa DG....?!
Simulizi hiyo ifuatayo itakufanya aghalabu uielewe dhana nzima ya "uwapo, wapo."
Ni hivi karibuni.....
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka upande ule?!
Kwa nini JPM alimrejesha RAS yule kuwa DG....?!
Simulizi hiyo ifuatayo itakufanya aghalabu uielewe dhana nzima ya "uwapo, wapo."
Ni hivi karibuni.....