Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Acha ujinga unaleta nusu ili iweje ,unaweka tangazo ili iweje?Ulishawahi kujiuliza, kwa nini JPM alibaki na Kasesera ambaye ni mwandani lia lia wa Benard Membe?!
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka upande ule?!
Kwa nini JPM alimrejesha RAS yule kuwa DG....?!
Simulizi hiyo ifuatayo itakufanya aghalabu uielewe dhana nzima ya "uwapo, wapo."
Ni hivi karibuni.....
Code hii ngumuUlishawahi kujiuliza, kwa nini JPM alibaki na Kasesera ambaye ni mwandani lia lia wa Benard Membe?!
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka upande ule?!
Kwa nini JPM alimrejesha RAS yule kuwa DG....?!
Simulizi hiyo ifuatayo itakufanya aghalabu uielewe dhana nzima ya "uwapo, wapo."
Ni hivi karibuni.....
leta madini hayo bibie,maana tushavurugwa huku na maboss,tusukumize week end yetuuUlishawahi kujiuliza, kwa nini JPM alibaki na Kasesera ambaye ni mwandani lia lia wa Benard Membe?!
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka upande ule?!
Kwa nini JPM alimrejesha RAS yule kuwa DG....?!
Simulizi hiyo ifuatayo itakufanya aghalabu uielewe dhana nzima ya "uwapo, wapo."
Ni hivi karibuni.....
Ila Kasesera jamani anvyojua kujikomba kwa wakubwa na watoto wa wakubwa hadi anapitiliza ,jamaa hana soni sijui ni Mnyakyusa wa wapi huyu jamaa hata ukiwa chawa basi jiheshimu na uonyeshe uthubutu wako, maisha sio ya kuwa mwanasiasa tu.Ulishawahi kujiuliza, kwa nini JPM alibaki na Kasesera ambaye ni mwandani lia lia wa Benard Membe?!
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka upande ule?!
Kwa nini JPM alimrejesha RAS yule kuwa DG....?!
Simulizi hiyo ifuatayo itakufanya aghalabu uielewe dhana nzima ya "uwapo, wapo."
Ni hivi karibuni.....