Pre GE2025 Hivi kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA ni chama gani kinakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi Tanzania kwa sasa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sifa za kuwa chadema
1:uwe na sauti nzito ya kufokea
2:Uwachokoze polisi wakukamata useme unapigania wa tz
3:Matusi
 
Kauli za wakipoteza watu polisi wasijiangaishe kuwatafuta, kauli za kuwadunga sindano za sumu?
 
Kauli za wakipoteza watu polisi wasijiangaishe kuwatafuta, kauli za kuwadunga sindano za sumu?
kulikua na kauli uhaini za nchi kutotawalika, ngangari , jino kwa jino na kuna watawala wanaendelea kutawala mpaka sasa unazungumzia hilo jepesi tu la majuzi? πŸ’

na by the way ,
ni mambo hatari ya kisiasa, lakini very serious πŸ’
 
🀣🀣🀣si unajua sisi ni washamba na akili hatuna ila cha ajabu ndo kabila kubwa na jiji letu ndo no 2 kwa mapato na ukubwa USISAHAU chakula unacho weka mezan asilimia 70 kuna mkono wa ngosha 😎
muongeze bidii sasa mchele wa shinyanga ni mtamu ila ni kidogo sokoni, au mmeanza uvivu tena?πŸ’
 
Amka usingizini, siasa sio stori za vijiweni.
Wewe gen z huwezi kuelewa.
Watu wazima tumeona mengi kabla hujazaliwa !.
wewe ulivyozaliwa ukaona chama kikubwa ni chadema sasa ukiambiwa Kuna vyama viliwahi kuwa vikubwa baadae vikaanguka unasema ni stori za vijiweni. UTOTO RAHA KWELI KWELI.
 
Dogo Maswali ya kitoto
 
h
hakuna
 
ACT ni chama cha watu wanaojielewa wasio na hitikadi za kinyumbu na mihemuko
 
Swali la ovyo kabisa. Hizo zote ni NGO, siyo vyama. Chama ni CCM tu.
 
Angalia viongozi wa chama gani wanaandamwa sana na sirikali πŸ˜€. Hao ni tishio kwa watawala, kwasababu wanawafuasi wengi, husani vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…