Hivi kati ya hawa wanaojiita Wachambuzi nani yupo vizuri na nani anababaisha tu?

Hivi kati ya hawa wanaojiita Wachambuzi nani yupo vizuri na nani anababaisha tu?

Nan alikwambia kuna
Anaemzd Chris mauki hata
Kwa dawa hawampat Chris
It's the best kwa uchambuz
Huyu jamaa yuko vzr sana

Hao wengne wanaota tu
Ndoto za mchana unamjua Charles William wasafi fm huyu jamaa ni noma namkubali sana
 
Ongeeni wooooote lakin kuna mashine moja makin na hatari sana nchi hii,huyo kila sehem mpka mambo ya dini yupo japo hujaweka kipengele cha dini lakin hyo jamaa ni habari nyingine kwangu mimi namchukulia hakuna kama yeye ktk sekta ya uchambuzi tanzania na east africa au africa nzima mpka ulaya wanamtambua kua ni kiboko yao.... Anaitwa

Dr Ellie VD Waminiani


acha kabsa hao akina mauki na akina ngoma wakajifunze kwanza ndio waje hapa upya
Imeisha hyo mkuu
 
Back
Top Bottom