Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,869
- 787
sawa...lakini kutangulia siyo kufika mkuu........Nimeanza kumsikia Jose Chameleone akiwa tayari katika ' game ' huko huko Kwao Uganda miaka ya mwanzoni kabisa ya 2000 tena akiwa tayari ni very ' celeb ' huku Diamond nimeanza kumsikia akianza kuhangaika mwaka 2010 na kuja kuanza ' kutusua ' miaka miwili tu iliyopita. Kumfananisha ' Nguli ' Jose Chameleon na Diamond ni sawa sawa na leo hii utake kumshindanisha Zinedine Yazid Zidane na Paul Pogba. Utajiri alionao leo Diamond mwenzake Jose Chameleone alikuwa nao tayari miaka 10 hadi 12 iliyopita.
kwenye mali mtachemsha jamaa ana ndinga kali zote uzijuazo mpk juzi kaamua kuchukua mercedes old ya miaka ya 70,wrangler,ferrari,jeeprange anamiliki,sa ingine muache kelele kuna wanamuziki wana hela chafu hawaongei na show zao wanapiga kimya kimya.
Iyo record ya 2010 uko tunataka list ya sasa iv
Mkuu mbona kawaida tu kwani haiwezekani mtoto kumzidi baba yake pesa hata kama baba yake alizishika kabla.
Kwani hao wanaopanga orodha ya matajiri duniani huwa inawasaidia nini?Ukishajua kwamba fulani ana pesa kumshinda mwenzake wewe itakusaidia nini? Hii topiki ya kipuuzi kabisa. Usishushe heshma ya JF. Iwe mwanzo na mwisho kuanzisha topiki kama hii. Nadhani umenielewa.
Kwani hao wanaopanga orodha ya matajiri duniani huwa inawasaidia nini?
Kama huna cha kukomenti bora uwe unapita kimya kimya usiwe unapumuliwa kisogoni kama yule mwanamuziki mwenye vimashimo kwenye mashavu
Yani ni sawa na kusema pele au backham watakua na pesa nyingi kumzidi Christiano Ronaldo kwa kigezo wameanza kucheza mda mrefu.Siyo kwa kumlinganisha Jose Chameleone na Diamond wenu.
Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.
Unawaza mabasha tu. Una reflect mazingira unayoishi...
Pole sana mkuu ipo siku yatakwisha ila usiwe na hasira na watu sasa..
Kumbe mwenzangu una battle hapa, aisee sikujua kwa hiyo umejiandaa kabisa uko una battle?
Uelewa wako ni mdogo ndiyo maana watu wengi wamekushangaa kwa kufikia conclusion kuwa chameleone ana ela zaidi kisa umemsikia kitambo.Nafurahi kwamba ' dozi ' yangu sasa inaanza ' kukuingia '.
Acha kutumia lugha ya matusi. Nakushauri usome tena sheria za JF.
Basi nime conclude kuwa wewe ni mjinga na bahati mbaya hujajua kuwa wewe ni mjinga.Unauliza Chupi matakoni?
Uelewa wako ni mdogo ndiyo maana watu wengi wamekushangaa kwa kufikia conclusion kuwa chameleone ana ela zaidi kisa umemsikia kitambo.
Hakuna aliyebisha kuwa chameleone anaweza kuwa na ela zaid ya mond ila tatizo ni reason ya kipuuzi uliyotoa na bado unajiona geneous...
Jiandae kwa battle kutoka kwa bwana mkubwa gentamycineYani ni sawa na kusema pele au backham watakua na pesa nyingi kumzidi Christiano Ronaldo kwa kigezo wameanza kucheza mda mrefu.
Dola million4 ni karibu Tsh 9bn/- ambazo naamini hizo hela hana kabisa.We na akili zako timamu kabisa unaamini kuwa Diamond anamiliki mabilioni kwenye account yake?
We bila shaka utakuwa unaishi mikoani huko ila tulio mjini tunaona kabisa kwa macho yetu jamaa Hana kitu sifa tu zimemjaa.
Diamond gari anayotamani kununua ni Royce rolls na thamani yake kwa uchache ni $304,350 na huyu alivyokuwa mpenda sifa kama angekuwa ana miliki $4 million angekuwa kishanunua hiyo ndinga tena hata mbili kwa mkupuo ili awanyime wapinzani wake usingizi.
Juzi kati katoka kutimuliwa kwenye nyumba ambayo ndio ilikuwa studio za wasafi pale Sinza.
Kama angekuwa na $4 milioni bila shaka asingekubali kupata aibu ya kutimuliwa angempa huyo mwenye nyumba milioni kama 150 akanunua hiyo nyumba Au angeenda kununua nyumba nyingine Mitaa ya Sinza aweke studio yake sehemu Tulivu ila mpaka leo bado kapanga Sinza sehemu ulipo studio ya wasafi.
Usisahau kuwa Diamond kamaliza kujenga nyumba yake mwaka jana nyumba ambayo kaanza kuijenga toka anatamba na mbagala yaani kifupi kajenga nyumba yake moja kwa miaka mitano na miaka yote alikuwa amepanga upande tu Sinza sasa kwa akili zako mtu mwenye $4 million angehitaji kupata shida kwenye nyumba za kupanga?
Acha kudanganyika.
Nakumbuka kusoma post ya Paulo Sergio De Souz kwamba wanaume wanaojadili pesa za wanaume wenzao hawana pesa kivile!
kweli wewe ni kiazi ndiyo maana akili yako inawaza mabasha tu na kubattle.Nikisema kuwa Wewe ni ' Mjinga ' na ' **** ' na nikiwadharau huwa mnadhani kuwa huwa nakosea. Kwani ungeandika tu kwa Kiswahili usingeeleweka hadi masikini ya Mungu umejitutumua hapo kuandika neno moja la Kiingereza linalomaanisha ' Mwerevu ' na umelikosea vibaya sana. Kweli GENTAMYCINE kiboko yaani nimekuchanganya hadi umelazimika kuandika Kiingereza ili nijue Wewe ni ' Msomi ' na matokeo yake ' neno ' lenyewe la Kiingereza umelikosea vibaya sana. Nilikuambia kuwa ukitaka ' battle ' na humu kwanza hakikisha ' upstairs ' mwako uko vizuri hukusikia na sasa umeshajichoresha na kujidhalilisha. Kumbe huwa sikosei pale ninapo wadharau.
kwenye mali mtachemsha jamaa ana ndinga kali zote uzijuazo mpk juzi kaamua kuchukua mercedes old ya miaka ya 70,wrangler,ferrari,jeeprange anamiliki,sa ingine muache kelele kuna wanamuziki wana hela chafu hawaongei na show zao wanapiga kimya kimya.
Basi nime conclude kuwa wewe ni mjinga na bahati mbaya hujajua kuwa wewe ni mjinga.
Yani una battle vitu vya kipuuzi hivi sa vitu vya msingi si utajiua kabisa