Hivi kati ya Jose Chamelione na Diamond Platnumz nani ana pesa?

Tokea mwanzo tushajua ww ni kipanga huna hoja za msingi na zenye mashiko bali umejaa chuki na sifa za kijinga
 
Ok hongera kwa kusoma Uganda. Bottom line diamond hamzidi chameleon kwa lolote.umaarufu,pesa,asset hata fans.Uganda mziki wao una identity sio sisi kutwa kuiba Nigerian music.
Mtakufa na kijiba mwaka huuu go go go chibu
 
hao wanaomzunguka anawalipa peke yake?!

Wakina Raymond,Mavoko na Harmonize ujue wanaingiza hela pia.

Kwa hiyo wewe unaamini kabisa na akili zako timamu kuwa jamaa ana Bilioni 9 shilling kwenye account zake?!
 
hao wanaomzunguka anawalipa peke yake?!

Wakina Raymond,Mavoko na Harmonize ujue wanaingiza hela pia.

Kwa hiyo wewe unaamini kabisa na akili zako timamu kuwa jamaa ana Bilioni 9 shilling kwenye account zake?!
Siwaongelei hao naongelea madancers, managers, djs, producer, photographers, bodyguard.
Mkuu haimaanishi ela iliyoko kwenye acc ila inajumuisha investments zake mali anazomiliki na ela aliyonayo kwenye bank.
 
Siwaongelei hao naongelea madancers, managers, djs, producer, photographers, bodyguard.
Mkuu haimaanishi ela iliyoko kwenye acc ila inajumuisha investments zake mali anazomiliki na ela aliyonayo kwenye bank.
Kwa vitu gani anavyomiliki?!

hiyo nyumba ya Madale na Studio ya wasafi au?!
 
Siwaongelei hao naongelea madancers, managers, djs, producer, photographers, bodyguard.
Mkuu haimaanishi ela iliyoko kwenye acc ila inajumuisha investments zake mali anazomiliki na ela aliyonayo kwenye bank.
Kaka usibishane na uyo punga utachoka bure
 
Huyo Daniela ni mke wa Chameleon kamjengea mijengo ya adabu sana na Gari aina ya Range nyeusi.

Yeye mwwnyewe anamiliki escalade spinning wills, Benz mbili, Range nyepe na nyekundu na Gari nyingine kibao .Bila kusahau mansions zipatazo tatu.Moja kijihini kwao,moja Entebe na nyingine Kampala.

Sasa huyo ndo wakumfananisha na hawa wasanii wetu .Mnachekesha vijana
 
Mambo mengne muwe mnafanya research ndo mnalopoka hujui kuwa chameleon ashawahi kufanya collable na davido......fikra za kimaskin ndo zinatutafuna wa tz
Ameropoka asiye yajuwaa .,unajuwa aliy kuwa na roho chafu huwa anaropokaa tu bila sababu ,
 
Hakuna cha jose wala kibakuri ao dalasa ; Platnumz ni habari nyengine
 
Kijana wetu anajitahidi, ila kwa chameleon bado kwanza.
 
Diamond ana pesa.
Ila sio ya kumlinganisha na Chameleon.
Wamepishana parefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…