Hivi kati ya Jose Chamelione na Diamond Platnumz nani ana pesa?

Dimond anaweza akaingia hata mara 20 kwa Dr. Jose Kinyonga.
 
Hivi chameleone na platnumz nani ana pesa kuliko mwengine?
Ukishajuwa?? Utaomba uwekeze ununue hisa? Wewe zako hapa hadarani bank statements ni Tzsh ngapi au una za kununua mb tu za kuletea mbwembwe humu??
 
Mijitu mingne cjui inawaza nini yaani ????
jukwaa linakaribia kubomolewa nyny mnakomalia ushushuu nan anapesa kweli hii ni fair?
Huyo aliyeko huko ndani anamtetea nani?sisi mbna hatujali kama jamaa ana ngw'ata na mbu kwa ajili yetu?
tubadilikeni bana diamond hana mchango wwte kwenye maisha yetu ila hili jukwaa ni sehemu ya life letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…