Hivi kati ya Mwalimu Kashasha na Dkt Leakey nani zaidi katika uchambuzi wa soka?

Hivi kati ya Mwalimu Kashasha na Dkt Leakey nani zaidi katika uchambuzi wa soka?

Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.
Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa. Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV). Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

umeongea vizuri sana
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.
Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa. Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV). Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.
Umenifilisi, nilitaka kuchangia lakini nimekuta umeshamaliza kila kitu. Well said!
 
kashasha hakuna anachojua ...Mara et pasi ya moto ndo nn sasa mchambuz bora ni mwl Tigana wa Eatv na East radio
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.
Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.
Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
umetema madini sana hapa..
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.
Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.
Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
U nailed it
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.
Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.
Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Na Mpira umekwiiisha. Mods tunaomba huu Uzi ufungwe huyu Jamaa kajibu swali la mtoa Uzi Kwa ufasaha kabisa.

Comment yako imejitosheleza Kwa asili Mia Mia kama.ni mchezaji basi we Said Mwamba Kizota
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.
Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.
Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Movie imeisha!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kumfananisha Dr Licky na vitu vya kipuuzi. Dk licha ya uchambuzi ni predicts mzur sana. Sifa ya Dr anaweza akakutajia kikosi cha Real betis chote na substitute unafanya mchezo nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.
Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.
Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Indeeeed umenikumbusha mbali indeeed
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.
Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.
Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.
Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.
Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.
Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Salute Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mimi leaky ni bora zaidi ya kashasha. Kashasha anapenda sifa ndio maana anavuma kama mziki wa bongo fleva. Leaky hachuji ndio maana mpaka leo mnamlinganisha na hao wengine. Binafsi kashasha naona ni msanii tuu hata uchambuzi hawezi.
 
Kwangu mimi leaky ni bora zaidi ya kashasha. Kashasha anapenda sifa ndio maana anavuma kama mziki wa bongo fleva. Leaky hachuji ndio maana mpaka leo mnamlinganisha na hao wengine. Binafsi kashasha naona ni msanii tuu hata uchambuzi hawezi.
Majibu yashapatika, unachofanya ni sawa na kujibu maswali ya ziada kwenye mtihani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Uyu mhuni katisha...asipoelewa mtu hapa ..Corona ilianzia kichwani kwake
 
Back
Top Bottom