February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
-
- #101
kwahyo black people enslaved the israelites?? pharaos were black?During the enslavement of Israelites ! But again Egypt stood there for many years as on of the biggest empires.. and it was never about conquering spree and dominance as the others did which is very much inline with African cultures. If you ask me
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
This goes back to the Imperial German East Africa Co. (IGEACO) under Carl Peters .. Carl alikuwa broker hakuwa ametumwa na serikali alikuja atafute makoloni for his country.. Serikali haikuwa imempa assistance at first.. so he needed to play smart putting together deals which will not cost his country when time comes to implement.nahisi ni uzembe tu wa viongoz...in reality we have the richest land ukicompare na hizo Kenya na zimbabwe...so wazungu practically wangekuwa interested sana na yetu....I think kina Jomo Kenyatta na Banana walifeel kama wanawahitaji wazungu ili waendelee in a capitalist world
Kama nilivyosema Ancient Egypt was one of the biggest empires in the world and it stayed intact as a civilization for over 3milenium.. and that comes with alot.. people coming in wanaona na kuzaa and that changes everything..kwahyo black people enslaved the israelites?? pharaos were black?
ile mifupa ya mafarao kwenye ma pyramids ni ya watu weusi?
i think not.
You know your stuff! Thank you very much. But few quick questions..
One... do Religions have to replace indigenous culture!?
Two what is the culture of Religion!? My point being is Mohammad S.A.W hailed from Ngoni would islam be faumously Ngoni Like!?
What about the ancestors of places where they didn't receive the message of prophets are they hell bound!? There is no Good ending for them!?
If there is a good ending for them (Ancestors) and I decide to follow their religion will I be rewarded the eternal peace!? Or hellfire will be inevitable!?
Finally the two major religion do coincide with emergency of two of the biggest modern empires.. Ottoman and Roman. One might argue these were just tools for culture harmonisation for easy access to bigger markets and Dominance.. wouldn't you agree!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Walikua hawana sababu ya ku expand empire, walikua wanakila kitu na walikua wanaheshimu utu.nikweli ila Egypt alikuwa hajitanui kwenda kutawala na mataifa mengine kama zilivyofanya hizo ngome zingine
ndio maana huwezi ukawafananisha na hao,
ila wangefanya kama hizo empire zingine basi nadhani pia nawao wangefanya makubwa sana ambayo ulimwengu ungeyakumbuka mda wote.
Pia kuweza kuangalia waliokuwa na nguvu toka wakati ule angalia misingi yao waliojijengea ni hadi leo ulimwengu unawatambua kuwa kuna mataifa fulani sio wakubezwa na bado kama Roma ana nguvu yake kubwa tu hadi sasa katika ulimwengu huu ukilinganisha na mataisha mengine
Toka kwenye story za bible. Research and create your own storykama(IF) Unaamini katika stori za bible na quran...hiyo black egyp iliexist pre au post enslavement of the israelites?
You think not kwa sababu mzungu kakwambia u "think not".kwahyo black people enslaved the israelites?? pharaos were black?
ile mifupa ya mafarao kwenye ma pyramids ni ya watu weusi?
i think not.
sijaelewa unachonibishia hapo ni nini pia sina hakika kama kweli umeielewa mada,Walikua hawana sababu ya ku expand empire, walikua wanakila kitu na walikua wanaheshimu utu.
Walikua wamefocus kwenye technology, mathematics na vingine kibao.
Au wenda wali expand empire wezi jua. Maana the black egypt tunayoongelea ni 4000 yrs back in time. Can yu imagine. Na historia ya roman empire imeandikwa na mzungu. Sa ulitegemea achafue history yake.
Hata kama egypt once ilikua the greatest kuliko hizo roman empire. Mzungu hawezi kukuandikia hiyo narrative. Hiyo narrative utakuja kui prove mwenyewe kwenye modern african people. Why tysom? Why michael jackson, why mayweather, why etc......... we are the greatest now. Cant yu see the proof
Sasa wewe Unatakiwa uikatae hii narrative. Usikubali hii narrative iingie kichwani kwako na kukudominate. Kwa sababu inatakiwa uwe na self defence when it comes to your afrocentric stories. Once unapo appriciate na kuikubali narrative ya mzungu tayari unakua umetekwa mentally. So kitu cha msingi ni kua centered kwanza sisi kama sisi africans bila kujali mzungu kaandika nn kwenye vitabu vyake vya historia.sijaelewa unachonibishia hapo ni nini pia sina hakika kama kweli umeielewa mada,
Inamaana kujua roma mambo aliyoyafanya yanathibitishwa na mzungu?
HIstoria siku zote inakuwa na proof nyingi sana za uhakika sijakataa kwamba Egypt ilikuwa ni kubwa na imara ila tunaloliongelea hapa ni zile ambazo zilikuwa zinajitanua kwenda kutawala na kudominant wengine,
wamisri wao wakija katika nchi yako wanapiga wanachukua mali na watumwa wanaondoka baasi, hawana time ya kuanza kushikilia nchi yako iwe yakwao,
Tunaowaongelea hapa niwale ambao walikuwa wanafanya kutaka kuitawala dunia kwa ujumla,
Mfano toka historia ya uliwmengu ianze ni British empire ndio imewahi kuwa empire kubwa kuzidi empire zozote, laini kwa ukubwa huo haiwezi ikaifikia empire ya mrumi au mwarabu(ottoman) kwa empire zenye nguvu zilizoacha matokeo yake hadi leo hii unaweza kuyaona kabisa.
SAsa sijaelewa malengo yako kusema historia iliyoandikwa ni ya uongo
shida mnaenda kuangalia youtube masimulizi mnakuja hapa mnajifanya mko full nondo, huyo mmisri anahistoria kubwa sana imeandikwa katika maandiko mbalimbali hakuna lililofichika hata kidogo,
Ukitaka kujua kuwa Wamisri historia zao zipo anza kufuatilia leo mmasai asili yake inatoka wapi.
kwahiyo ndugu hapa ongelea empire ambazo zilikuwa zikijitanua kutaka kutawala ulimwengu mzima nk
Usifananishe roman empire na vitu vengine ktk sheria za roman empire yyote yule asiye mroman ni mtumwa nch moja tu ndio ilipona ETHIOPIA au kush empire hawa ndio waliweza kupambana nao lkn misri na ujanja wao wote roman aliitawala misriGreetings Earthlings,
Hizi empire mbili zilitawala kila moja kwa muda wake.
Roman empire ilitawala muda mrefu zaidi na ilikuwa na phase mbili ya kabla kuwa ya kikristo na baada kuwa ya kikristo
Kabla kuwa ya kikristo ilitawala dunia kwa mateso na kuonea wasioamini miungu ya kirumi..
Baada ya kuwa ya kikristo miaka ya 200AD iliendelea kutawala na kutesa sana wasioamini ukatoliki.hivyo ilisaidia sana kukua kwa ukatoliki na kuupa nguvu duniani
Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa
ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)
Swali langu:Kati ya hizi tawala mbili ipi ilikuwa katili zaidi(Most brutal) per time it ruled?
Nb;sio mjadala wa dini,ni pure history na facts tuachane na hisia zetu according to imani zetu
Moyo wako umejazwa na chuki mbaya kuzidi hata roho mbaya za uswahiliSasa wewe Unatakiwa uikatae hii narrative. Usikubali hii narrative iingie kichwani kwako na kukudominate. Kwa sababu inatakiwa uwe na self defence when it comes to your afrocentric stories. Once unapo appriciate na kuikubali narrative ya mzungu tayari unakua umetekwa mentally. So kitu cha msingi ni kua centered kwanza sisi kama sisi africans bila kujali mzungu kaandika nn kwenye vitabu vyake vya historia.
Njia kuu ya kutoka kwenye modern slavery ni kumkataa kwanza mbabylon na maneno yake na kuishi nae kwa akili at the same time unajenga polepole cha kwako kilichobomolewa miaka 400 iliyopita.
Sababu hata mzungu hakubali kabisa uchafue historia yake. Yuko radhi hata akudanganye historia ili mradi aendelee kua juu.
Wewe unajua wazungu huko ulaya wanaelimishwa kwamba sisi bado tuko kwenye stage ya evolution. Yani akitoka nyani ni ww. Sasa ukiwa hauko makini nakuamini narrative ya mzungu hapo ndo anaku conquer.
Hii bado ni narrative iliyoandikwa na mzungu. Mna judge kutokana na narrative ambazo mmesoma kwenye vitabu bila kufanya tafiti kujua ni kweli au ni propaganda.Usifananishe roman empire na vitu vengine ktk sheria za roman empire yyote yule asiye mroman ni mtumwa nch moja tu ndio ilipona ETHIOPIA au kush empire hawa ndio waliweza kupambana nao lkn misri na ujanja wao wote roman aliitawala misri
Mkuu mbona umetokwa povuMoyo wako umejazwa na chuki mbaya kuzidi hata roho mbaya za uswahili
Ndugu ukweli haukimbiwi, lazima ukubaliane na madhaifu yako kwanza ndio uweze kuweka kanuni za kujijenga kimaisha,
Kulazimisha Misri iwe juu zaidi ya Roma ni akili za kipuuzi ambazo hazijawahi kutokea katika ulimwengu huu,
Yaani nyumba inaungua unajifariji haiungui au unapoangalia hayo mapirapidi ndio yanakuonyesha kuwa misri alikuwa mbabe?
Acha akili za kitoto hapa tunaongelea fact ndugu, tunaongelea mambo yanayoonekana,
Roma kamtawala hadi huyo misri sasa ukiwa na elimu ya juu na haikusaidii kuna kuwa na maana gani?
hata nyuzi zako unazoziweka hapa zinaonyesha namna gani uko finyu katika akili zako, maarifa yapo bure hutaki kuyasoma unang'ang'ania mwafrica ndio aligundua umeme haya umejua sasa umekusaidia nini kuiinua Africa?
Inaelezwa ‘Illuminates’ wanaua watu weusi wanaonekana kupata nguvu kama Kobe na Chadwick (Black Panther)
Umeona akili zako zilivyo za kipuuzi na nyuzi kama hizo?
Harafu unakuja kusema hapa misri alikuwa mbabe kuzidi romani wakati huyo mmisri katawaliwa na mroma hadi Yesu anakuja wanajua wameletewa samson mwingine wanamkataa anapoleta fact za amani.
Wizi mpya kwa kutumia 'Visa card' na usumbufu wa benki kurudisha pesa
Kama hutaki nitetee watu waafrika nambie tu kwamba hizi mada zako hazitakiwi humu jamii forum nikuelewe. Tuna fight for humanity brother. Otherwise yu are not an african brotherMoyo wako umejazwa na chuki mbaya kuzidi hata roho mbaya za uswahili
Ndugu ukweli haukimbiwi, lazima ukubaliane na madhaifu yako kwanza ndio uweze kuweka kanuni za kujijenga kimaisha,
Kulazimisha Misri iwe juu zaidi ya Roma ni akili za kipuuzi ambazo hazijawahi kutokea katika ulimwengu huu,
Yaani nyumba inaungua unajifariji haiungui au unapoangalia hayo mapirapidi ndio yanakuonyesha kuwa misri alikuwa mbabe?
Acha akili za kitoto hapa tunaongelea fact ndugu, tunaongelea mambo yanayoonekana,
Roma kamtawala hadi huyo misri sasa ukiwa na elimu ya juu na haikusaidii kuna kuwa na maana gani?
hata nyuzi zako unazoziweka hapa zinaonyesha namna gani uko finyu katika akili zako, maarifa yapo bure hutaki kuyasoma unang'ang'ania mwafrica ndio aligundua umeme haya umejua sasa umekusaidia nini kuiinua Africa?
Inaelezwa ‘Illuminates’ wanaua watu weusi wanaonekana kupata nguvu kama Kobe na Chadwick (Black Panther)
Umeona akili zako zilivyo za kipuuzi na nyuzi kama hizo?
Harafu unakuja kusema hapa misri alikuwa mbabe kuzidi romani wakati huyo mmisri katawaliwa na mroma hadi Yesu anakuja wanajua wameletewa samson mwingine wanamkataa anapoleta fact za amani.
Wizi mpya kwa kutumia 'Visa card' na usumbufu wa benki kurudisha pesa
Imekuuma mimi kua na mapenzi na waafrika[emoji23]Moyo wako umejazwa na chuki mbaya kuzidi hata roho mbaya za uswahili
Ndugu ukweli haukimbiwi, lazima ukubaliane na madhaifu yako kwanza ndio uweze kuweka kanuni za kujijenga kimaisha,
Kulazimisha Misri iwe juu zaidi ya Roma ni akili za kipuuzi ambazo hazijawahi kutokea katika ulimwengu huu,
Yaani nyumba inaungua unajifariji haiungui au unapoangalia hayo mapirapidi ndio yanakuonyesha kuwa misri alikuwa mbabe?
Acha akili za kitoto hapa tunaongelea fact ndugu, tunaongelea mambo yanayoonekana,
Roma kamtawala hadi huyo misri sasa ukiwa na elimu ya juu na haikusaidii kuna kuwa na maana gani?
hata nyuzi zako unazoziweka hapa zinaonyesha namna gani uko finyu katika akili zako, maarifa yapo bure hutaki kuyasoma unang'ang'ania mwafrica ndio aligundua umeme haya umejua sasa umekusaidia nini kuiinua Africa?
Inaelezwa ‘Illuminates’ wanaua watu weusi wanaonekana kupata nguvu kama Kobe na Chadwick (Black Panther)
Umeona akili zako zilivyo za kipuuzi na nyuzi kama hizo?
Harafu unakuja kusema hapa misri alikuwa mbabe kuzidi romani wakati huyo mmisri katawaliwa na mroma hadi Yesu anakuja wanajua wameletewa samson mwingine wanamkataa anapoleta fact za amani.
Wizi mpya kwa kutumia 'Visa card' na usumbufu wa benki kurudisha pesa
Wazungu wanatutukana sn shenzSasa wewe Unatakiwa uikatae hii narrative. Usikubali hii narrative iingie kichwani kwako na kukudominate. Kwa sababu inatakiwa uwe na self defence when it comes to your afrocentric stories. Once unapo appriciate na kuikubali narrative ya mzungu tayari unakua umetekwa mentally. So kitu cha msingi ni kua centered kwanza sisi kama sisi africans bila kujali mzungu kaandika nn kwenye vitabu vyake vya historia.
Njia kuu ya kutoka kwenye modern slavery ni kumkataa kwanza mbabylon na maneno yake na kuishi nae kwa akili at the same time unajenga polepole cha kwako kilichobomolewa miaka 400 iliyopita.
Sababu hata mzungu hakubali kabisa uchafue historia yake. Yuko radhi hata akudanganye historia ili mradi aendelee kua juu.
Wewe unajua wazungu huko ulaya wanaelimishwa kwamba sisi bado tuko kwenye stage ya evolution. Yani akitoka nyani ni ww. Sasa ukiwa hauko makini nakuamini narrative ya mzungu hapo ndo anaku conquer.
Sisi ndio tupo wafrica hapa tunaambiana ukweli ndugu, ila tukikutana na wazungu ndio tutajidai nasisi kujiteteaKama hutaki nitetee watu waafrika nambie tu kwamba hizi mada zako hazitakiwi humu jamii forum nikuelewe. Tuna fight for humanity brother. Otherwise yu are not an african brother
hivi unajua kuwa mwamerica wa kwanza alikuwa ni mtu mweusi?Imekuuma mimi kua na mapenzi na waafrika[emoji23]
Sawa. Lakini unajua kua wazungu wanafundisha sisi tuko kwenye stage ya evolution? Yani sisi ni stage ya pili ya nyani?Sisi ndio tupo wafrica hapa tunaambiana ukweli ndugu, ila tukikutana na wazungu ndio tutajidai nasisi kujitetea
kuwa m,pole tu brother,
humanity nikusema ukweli ili ujirekebishe sio kujidanganya kujifariji