Over excitement hiyo.
Over excitement hiyo.
Mkuu utapataje hamu wakati mashine imesinyaaa?
nashukuru mkuuUlisinyaa kwa vile hujaruhusiwa kufanya mapenzi,kafunge ndoa kanisani hautasinyaa kamwe
Ulisinyaa kwa vile hujaruhusiwa kufanya mapenzi,kafunge ndoa kanisani hautasinyaa kamwe
habari wakuu mimi n kijana wa miaka 22 kwa sasa ,nmefanya sex nikiwa na miaka 21 kwa mara ya kwanza but hyo siku nilisex kwa dk kama 5 hiv then uume ukasinyaa sasa nashindwa kuelewa ni nin hii and ckuendelea baada ya apo ...msaada wenu wakuu coz nakua nahamu but uume umelalla sasa dawa yake nin??
oi Mwana hilo ni Balaa kubwa sana Nenda Hospital waambie wakate na uwe na jinsia ile nyingine au uendelee kubaki na mshukushu kama Pambo... Pole Sana Chuma hakiendi Dubei! wakati wenzio Tunasimamisha hadi Jeans Muda wote
ulisinyaa kwa sababu kikojoleo cha pili yaani oposite yake ilikuwa haina quality endelea kutafuta quality the uje unipe feedback!
daah kwa kwel hii inaweza kuwa sababu,maana huyu girl alikuwa mchafu kwel tena akitoa harufu kwa sna!