hivi katika sex hii ni kawaida au!??

kirama00

Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
27
Reaction score
0
habari wakuu mimi n kijana wa miaka 22 kwa sasa ,nmefanya sex nikiwa na miaka 21 kwa mara ya kwanza but hyo siku nilisex kwa dk kama 5 hiv then uume ukasinyaa sasa nashindwa kuelewa ni nin hii and ckuendelea baada ya apo ...msaada wenu wakuu coz nakua nahamu but uume umelalla sasa dawa yake nin??
 
Khaaaa haya Majukwaa sasa tutasikia na wanetu wanavyotuchungulia maana Computer na Laptop tuziwacha wazi
 
Mkuu utapataje hamu wakati mashine imesinyaaa?
 
Ulisinyaa kwa vile hujaruhusiwa kufanya mapenzi,kafunge ndoa kanisani hautasinyaa kamwe
 
Mwanangu usiyachokoze wala uusiyaanze mapezi mpaka yatakapoona. Hujaoa tayari umeshaanza. Subiri ukishaoa tutakupa majibu.
 
Je , inachukua muda gani kusimamisha uume, je uume wako hauna tabu kusimama, je ulipo fanya sex ulikua unajilazimisha au ulivutiwa na unaye fanya naye/
 

hacha mara moja..mpk ndoa..mi mwenyewe nina miaka 24 sijajihusisha na huo mchezo..nasubiri ndoa..kwa nguvu zako huwezi ila ukimuamini Yesu akakuokoa ni rahisi mno..mana mm ni shuhuda wa hilo
 
ulisinyaa kwa sababu kikojoleo cha pili yaani oposite yake ilikuwa haina quality endelea kutafuta quality the uje unipe feedback!
 
oi Mwana hilo ni Balaa kubwa sana Nenda Hospital waambie wakate na uwe na jinsia ile nyingine au uendelee kubaki na mshukushu kama Pambo... Pole Sana Chuma hakiendi Dubei! wakati wenzio Tunasimamisha hadi Jeans Muda wote
 
oi Mwana hilo ni Balaa kubwa sana Nenda Hospital waambie wakate na uwe na jinsia ile nyingine au uendelee kubaki na mshukushu kama Pambo... Pole Sana Chuma hakiendi Dubei! wakati wenzio Tunasimamisha hadi Jeans Muda wote

sasa mbna hvo nkate ili iweje kwan hakuna dawa? mkuu acha kukatsha watu tamaa am serius on ths
 
ulisinyaa kwa sababu kikojoleo cha pili yaani oposite yake ilikuwa haina quality endelea kutafuta quality the uje unipe feedback!

daah kwa kwel hii inaweza kuwa sababu,maana huyu girl alikuwa mchafu kwel tena akitoa harufu kwa sna!
 
Uchofu kijana huwa ni kawaida, kutegemeana na maandalizi, eneo na hali ya hewa ya siku hiyo, mawazo uliyokuwa nayo siku hiyo, na yeye mwenyewe alivyokupokea. Vyote hivi vinaweza kuchangia kukuweka katika hali hiyo. Lakini usiwe na hofu woga utaisha na ukikutana naye tena ninaimani hali itakuwa tofauti.
 
Ondoa mchecheto, ondoa hofu.. Japo ni vigumu saaaaana kuviondoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…