Hivi kazi ya Ualimu ni adhabu au ajira? Maana serikali inavyo wafanyia hadi huruma.

Hivi kazi ya Ualimu ni adhabu au ajira? Maana serikali inavyo wafanyia hadi huruma.

Alagwa

Member
Joined
May 30, 2012
Posts
96
Reaction score
88
Sio kila siku tunawalalamikia walimu tuuu, Mara Ohoo kiwango cha elimu kinashuka mara ohhhh watoto hawaelewi kitu!!!!!!Kama unaakili timamu hauwezi kumlalamikia mwalimu kwa hayo yote wakati hauju lolote huhusu hali ya huyo unayemtengemea akufundishie mtoto wako awe na maisha bora na akusaidie wewe, Wakati maisha ya mwalimu ni magumu na hali ngumu sana kuwa ni serekali yenu inaweza kupitihsa zaidi ya miezi 2 bila ya kumpa mshahara wake mwalimu. Kweli nimewaonea sana huruma walimu wapya kwani hata majibu ya wahudumu wa almashauri ni ya ovyo sana kuhusu mishahara ambayo sasa inakimbilia miezi 4 ya walimu wapya. Nyie wahudumu wa almashauri ivi kama mtoto wako ni mwalimu alafu amepangwa ugenini kama walivyo walimu hawa unaweza kumjibu majibu ya ovyo ovyo katika haki yake na amesha tenda kazi yake aliyo pewa na serekali. Usijisahau mwalimu pia ana mahitaji yake pia kama wewe ivi tubikwambia hautauona mshahara wako wa miezi 3 siunaweza jinyonga wewe sasa ujiulize mwalimu anatumia njia gani kuisha kwa muda wote bila ya fedha zenu za majungu na malalamiko .HONGERENI SANA WALIMU WOTE Tz MUNGU ANAJUA KILIO CHENU NA IPO SIKU YOTE HAYA YATAFIKA MWISHO Na Paul Alagwa
 
Sio kila siku tunawalala mikia walimu tuuu, Mara Ohoo kiwango cha elimu kinashuka mara ohhhh watoto hawaelewi kitu!!!!!!Kama unaakili timamu hauwezi kumlala mikia mwalimu kwa hayo yote wakati hauju lolote huhusu ahali ya huyo unaye mtengemea akufundishie mtoto wako awe na maisha bora na akusaidie wewe, Wakati maisha ya mwalimu ni magumu na hali ngumu sana kuwani serekali yenu inaweza kupitihsa zaidi ya miezi 2 bila ya kumpa mshahara wake mwalimu. Kweli nimewaonea sana huruma walimu wapya kwani hata majibu ya wahudumu wa almashauri ni ya ovyo sana kuhusu mishahara ambayo sasa inakimbilia miezi 4 ya walimu wapya. Nyie wahudumu wa almashauri ivi kama mtoto wako ni mwalimu alafu amepangwa ugenini kama walivyo walimu hawa unaweza kumjibu majibu ya ovyo ovyo katika haki yake na amesha tenda kazi yake aliyo pewa na serekali. Usijisahau mwalimu pia ana mahitaji yake pia kama wewe ivi tubikwambia hautauona mshahara wako wa miezi 3 siunaweza jinyonga wewe sasa ujiulize mwalimu anatumia njia gani kuisha kwa muda wote bila ya fedha zenu za majungu na malalamiko .HONGERENI SANA WALIMU WOTE Tz MUNGU ANAJUA KILIO CHENU NA IPO SIKU YOTE HAYA YATAFIKA MWISHO Na Paul Alagwa

Paul jipange vizuri basi. Huenda una hoja nzito lakini maneno mengine ukiyakosea yanakuwa kama matusi vile!
 
Huyu jamaa mbovu sana wa lugha dah...
 
hii ndio hali ya elimu TANZANIA! KISWAHILI hali ndio hii, je kimombo?ngoja mie nipite tu nijifanye sijaona.
 
Dah! Jamaa anakoroga lugha hajaeleweka kabisa! Atakuwa Mwalimu huyu ana kisirani!
 
Paul jipange vizuri basi. Huenda una hoja nzito lakini maneno mengine ukiyakosea yanakuwa kama matusi vile!

Mimi mwenyewe nimehisi jamaa atakuwa kuna jambo anataka kulitoa tujadiri.:A S-coffee:
 
Kama kwa idadi yao hawawezi kuhakikisha wanaheshimiwa nani awasemee?:A S-baby:
 
Sio kila siku tunawalala mikia walimu tuuu, Mara Ohoo kiwango cha elimu kinashuka mara ohhhh watoto hawaelewi kitu!!!!!!Kama unaakili timamu hauwezi kumlala mikia mwalimu kwa hayo yote wakati hauju lolote huhusu ahali ya huyo unaye mtengemea akufundishie mtoto wako awe na maisha bora na akusaidie wewe, Wakati maisha ya mwalimu ni magumu na hali ngumu sana kuwani serekali yenu inaweza kupitihsa zaidi ya miezi 2 bila ya kumpa mshahara wake mwalimu. Kweli nimewaonea sana huruma walimu wapya kwani hata majibu ya wahudumu wa almashauri ni ya ovyo sana kuhusu mishahara ambayo sasa inakimbilia miezi 4 ya walimu wapya. Nyie wahudumu wa almashauri ivi kama mtoto wako ni mwalimu alafu amepangwa ugenini kama walivyo walimu hawa unaweza kumjibu majibu ya ovyo ovyo katika haki yake na amesha tenda kazi yake aliyo pewa na serekali. Usijisahau mwalimu pia ana mahitaji yake pia kama wewe ivi tubikwambia hautauona mshahara wako wa miezi 3 siunaweza jinyonga wewe sasa ujiulize mwalimu anatumia njia gani kuisha kwa muda wote bila ya fedha zenu za majungu na malalamiko .HONGERENI SANA WALIMU WOTE Tz MUNGU ANAJUA KILIO CHENU NA IPO SIKU YOTE HAYA YATAFIKA MWISHO Na Paul Alagwa
Umeanza vizuri, ila ukamalizia kwa Majungu na wewe. Issue kama kweli hawajalipwa basi Serikali ijitahidi iwalipe, ila suala la kusema ni pesa za majungu sijui una maana gani? si majungu hayo unayaendeleza? Serikali haiwezi kuwaajiri watumishi wake kwa majungu Mkuu hapo nadhani kidogo umeenda mbali au labda ulikuwa unataka kufikisha ujumbe tofauti na mada yako.
 
Kazi ya wito hii
Inawezekana ualimu ni kazi ya wito. Kwani walimu si ni wote kuanzia shule ya msingi hadi vyuo vikuu sio? Kama ndivyo kuna jamaa yangu anafanya kazi pale udom anasema wao walikuwa promoted toka tutorial assistant kuwa assistant lecturers november 2010 na wakajalipwa mshahara huo wa promotion december 2011 (miezi 13) baadae. Pamoja nakulipwa huko, walilipwa daraja moja chini. Cha ajabu zaidi february 2012 wakati wanajaza salary arrears claim form wakalazimishwa kujaza mshahara wa chini ya stahili yao kwa maelezo kuwa hazina itawarekebishia automatically. Pamoja na kujaza form za madai ya mshahara huo ambao ulikuwa haujalipwa (arreas) hadi mwezi huu wa sita hawajalipwa stahili yao na hazina wamekuwa wakiwarusharusha. Kwa mazingira kama haya bora seikali ingewatamkia walimu au wahadhiri hawa kuwa kazi yao haipaswi kuwa na mshahara na kwa hiyo hawastahili kulipwa
 
huyo ndio mwl.bwana kiswahili yake mbofu sana,sijui toto yetu tafundishwa nini na hii mwl.?
 
Sio kila siku tunawalala mikia walimu tuuu, Mara Ohoo kiwango cha elimu kinashuka mara ohhhh watoto hawaelewi kitu!!!!!!Kama unaakili timamu hauwezi kumlala mikia mwalimu kwa hayo yote wakati hauju lolote huhusu ahali ya huyo unaye mtengemea akufundishie mtoto wako awe na maisha bora na akusaidie wewe, Wakati maisha ya mwalimu ni magumu na hali ngumu sana kuwani serekali yenu inaweza kupitihsa zaidi ya miezi 2 bila ya kumpa mshahara wake mwalimu. Kweli nimewaonea sana huruma walimu wapya kwani hata majibu ya wahudumu wa almashauri ni ya ovyo sana kuhusu mishahara ambayo sasa inakimbilia miezi 4 ya walimu wapya. Nyie wahudumu wa almashauri ivi kama mtoto wako ni mwalimu alafu amepangwa ugenini kama walivyo walimu hawa unaweza kumjibu majibu ya ovyo ovyo katika haki yake na amesha tenda kazi yake aliyo pewa na serekali. Usijisahau mwalimu pia ana mahitaji yake pia kama wewe ivi tubikwambia hautauona mshahara wako wa miezi 3 siunaweza jinyonga wewe sasa ujiulize mwalimu anatumia njia gani kuisha kwa muda wote bila ya fedha zenu za majungu na malalamiko .HONGERENI SANA WALIMU WOTE Tz MUNGU ANAJUA KILIO CHENU NA IPO SIKU YOTE HAYA YATAFIKA MWISHO Na Paul Alagwa

Paul jipange vizuri basi. Huenda una hoja nzito lakini maneno mengine ukiyakosea yanakuwa kama matusi vile!

Kimbunga; Huyo ndiyo mwalimu anaye Walala mikia Almashauri halafu anategemea tumlipe mshahara atufundishie watoto wetu kwa lugha hii na maandiko ya hivi. Kweli Tanzania bado sana..... Huyu anaweza kufundisha wanetu kutu lala mikia daily.
 
Msilete uzandiki wenu...kwa nini hamtaki kuwakubali watu waliojitolea kufanya kazi hii ya utumwa na masilah duni...mshahara wa mwalimu wa degree ni zaidi ya nesi mwenye cheti.
 
Back
Top Bottom