Hivi kazi ya Ualimu ni adhabu au ajira? Maana serikali inavyo wafanyia hadi huruma.

Hivi kazi ya Ualimu ni adhabu au ajira? Maana serikali inavyo wafanyia hadi huruma.

Ualimu ni wito,kama hutaki,acha kazi.over
 
Kimbunga; Huyo ndiyo mwalimu anaye Walala mikia Almashauri halafu anategemea tumlipe mshahara atufundishie watoto wetu kwa lugha hii na maandiko ya hivi. Kweli Tanzania bado sana..... Huyu anaweza kufundisha wanetu kutu lala mikia daily.


Hili ndo tatizo kubwa linaloikabili fani ya ualimu.
 
Daaaa Jamani wote humu waelewa. Kwanza mi sio mwalimu. Alafu ni kweli kuna michapio ya kufa mtuu ila angalieni na muda uliotumika kupost nilikuwa full usingizi alafu ndiyo naanza kutumia hii kitu ya jamii kuelekezana sio vibaya jamani. Paul Alagwa
 
Daaaa Jamani wote humu waelewa. Kwanza mi sio mwalimu. Alafu ni kweli kuna michapio ya kufa mtuu ila angalieni na muda uliotumika kupost nilikuwa full usingizi alafu ndiyo naanza kutumia hii kitu ya jamii kuelekezana sio vibaya jamani. Paul Alagwa
Wacha bwana!! Mwl. Alagwa umetuaibisha walimu sana. Huwezi kuandika hivi aisee Wewe sijui ni mwalimu wa ngazi gani tu
 
Acha wateseke mpaka siku watajibu kwa dhati >pawaaaa cdm waitapo >ppoooooz!
 
Back
Top Bottom