Kimbunga; Huyo ndiyo mwalimu anaye Walala mikia Almashauri halafu anategemea tumlipe mshahara atufundishie watoto wetu kwa lugha hii na maandiko ya hivi. Kweli Tanzania bado sana..... Huyu anaweza kufundisha wanetu kutu lala mikia daily.
Daaaa Jamani wote humu waelewa. Kwanza mi sio mwalimu. Alafu ni kweli kuna michapio ya kufa mtuu ila angalieni na muda uliotumika kupost nilikuwa full usingizi alafu ndiyo naanza kutumia hii kitu ya jamii kuelekezana sio vibaya jamani. Paul Alagwa
Daaaa Jamani wote humu waelewa. Kwanza mi sio mwalimu. Alafu ni kweli kuna michapio ya kufa mtuu ila angalieni na muda uliotumika kupost nilikuwa full usingizi alafu ndiyo naanza kutumia hii kitu ya jamii kuelekezana sio vibaya jamani. Paul Alagwa