CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 467
Hamia Kenya Basi. Kwanza wapinzani wa Kenya wanajitambua siyo Kama nyie
Jamani nimeangalia Tv ya Citizen ya Kenya sasa hivi Uhuru amehutubia kwa muda mfupi akisema hakubaliani na hukumu ila ataiheshimu sijui na kue The Hague pia alikataa kuitambua hukumu za wale majaji? Hata hivyo kama ulimuangalia alionekana vile hayupo sawa kama amelewa au ni handis!!!
Wapinzani Kenya wanajitambua. Hawaendeshwi na mihemko au ushabiki wa kijinga. Huwezi kulinganisha na vichwa boksi aina ya "Mange kasema."Hakika nchi ya Kenya ni daraja lingine kwa sasa , Yote yanayotokea lakini polisi wa nchi hiyo wameamua kufuata sheria kwa weledi wa kutukuka mno !
Hakuna kabisa uonevu ulioripotiwa wakati harakati za mahakamani zikiendelea , hakuna cha inteligensia wala maagizo kutoka juu , nchi imetulia na wananchi wamekuwa wamoja kuliko wakati wowote ule !
Mungu ibariki Kenya .
Uongo utakusaidia nini ?Wapinzani Kenya wanajitambua. Hawaendeshwi na mihemko au ushabiki wa kijinga. Huwezi kulinganisha na vichwa boksi aina ya "Mange kasema."
Kenyata atashinda tena , bali kambi ya Odinga sasa imeridhika .Ukawa msibadili gia angani....mmeshindwa uchaguzi wa Kenya ....wizi wa kura! Angeshinda Uhuru huko mahakamani usingeandika haya!acheni unafki
Sent using Jamii Forums mobile app
Onesha uongo wanguUongo utakusaidia nini ?
Ni kwel kabisa uhuruto wanaogopa sana ICC waliona moto wakeWenzenu tulimwaga damu na hawa mnaowasifu tuliwapeleka ICC the hague ndio maana leo wanaheshimu Raia na sheria za nchi. Nyie endeleeni kusbiri huruma za wasiojua umuhimu wa Amani siku wakijisikia watawapeni haki.
Wanaheshimu katiba.Wapinzani wa kenya wanajielewa na pia wana msimamo......hawa wetu ni kinyume chake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya siyo banana republic.Hakika nchi ya Kenya ni daraja lingine kwa sasa , Yote yanayotokea lakini polisi wa nchi hiyo wameamua kufuata sheria kwa weledi wa kutukuka mno !
Hakuna kabisa uonevu ulioripotiwa wakati harakati za mahakamani zikiendelea , hakuna cha inteligensia wala maagizo kutoka juu , nchi imetulia na wananchi wamekuwa wamoja kuliko wakati wowote ule !
Mungu ibariki Kenya .
Mkuu heshima kwako. Maneno machache lakini ujumbe mzito sana.[emoji122][emoji122][emoji122]Wenzenu tulimwaga damu na hawa mnaowasifu tuliwapeleka ICC the hague ndio maana leo wanaheshimu Raia na sheria za nchi. Nyie endeleeni kusbiri huruma za wasiojua umuhimu wa Amani siku wakijisikia watawapeni haki.