Lulu ashukuru sana lile tukio lilitokea awamu ile ya rais kikwete, lingetokea awamu hii kumuua Kanumba msukuma, chini ya utawala wa mkoa ambae ni msukuma, rais ambae ni msukuma, haaaa angesha sukumiwa jela kitambo sana., hata dhamana ingekuwa hakuna.