Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

[emoji23][emoji23][emoji23]woiiiii hizi comments zitaniuwa[emoji23][emoji23]

Labda anaishi kibaha na ubungo akiwa kibaha anakisikia na akiwa ubungo anakisikia pia[emoji2368]
 
Acha bange mzee baba hapa umeandika upupu gani?
 
Ni muda muafaka wa kuendesha gari za aina hiyo maana wengine wanakuwa wamelala fofofo hasa hasa MINORSπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜Ž
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…