Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

Jaribu kuishi pembezon kidogo ya mji, walau upate usingizi maisha yenyewe yako wapi mpaka ujitese hivyo.? Najua unaishi karibu Na barabara ili uwahi kazin
 
Haina taabu tusubiri kipate ajali watakitangaza ni cha nani, kimetoka wapi na kinakwenda wapi
 
Ndugu yetu huwa anajitahidi kuwa active, lakini isije ikawa ni ndoto maana area covered na hiyo observation ni kubwa mno.
 
Mkuu sidhani kama wanafikaga hadi chalinze na kibaha maana kwa Dar hao madogo mara nyingi hutokeaga upanga, kinondoni, ilala & k/koo.

Japo kuna kuwepo na madogo wakiswahili but wengi wao ni madogo wakihindi koko, warabu koko na wakisomali koko.
Huwa wanafanya "illegal racing" kwa kutumia pikipiki au magari.

Hupendelea zaidi morogoro road, A.H road, bagamoyo road, nyerere road, mandela road pia sometimes wanazunguka street roads za hapa city center.

Hizi racing battle hufanyikaga hasa weekend midnight pindi jiji limepoa na hakuna foleni.
 
Huku maeneo ya tabata kimepita sasa ivi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom