Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Nipo huku Yemen kimepita mda siyo mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]wengine tuna vigari vyetu tunalala navyo humu vitandani,vinaunguruma kama scania iliyokosa mafuta inataka kuzimika,muffler zinapiga filimbi tuu,hicho kigari chako tutakisikiaje!
Tangu lini macho yakasikia!Nikiripoti toka Tukuyu,Mbeya.
Leo nimekisikia kwa macho yanguuu,kimetoa mlio kama kimepasuka exozi hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
KkkkkkkkHapa Instambul nilikaona mchana kalikatiza [emoji23][emoji23][emoji23]
Kelele hapo stendi? Wewe wa hapohapo utakuwa na jibu.Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Umeandika kama vile jf inatumika mtaani kwenu tuYani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Sema fisi wanakupa taarifa mkuu, ushauri tu angalia wakati unapita ubungo maji kwa mzee wa ufufuoNdio kuna control box zinanipa mrejesho
Hakuna usiku wa manane mkuu,.
Mkuu umeniongezeaa sikuu za kuishii nimechekaa hatarii.Sio nchi nzima ni dunia nzima maana kimekatiza sasahivi hapa mogadishu
Ulikuwa unasubiriwa wewe kuja kusema...Si umwambie tu kuna "Usiku wa manani" !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huwa unakikimbiza kwa nyuma? Maana haiwezekani uwepo kuanzia ubungo hadi kibaha