Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

wengine tuna vigari vyetu tunalala navyo humu vitandani,vinaunguruma kama scania iliyokosa mafuta inataka kuzimika,muffler zinapiga filimbi tuu,hicho kigari chako tutakisikiaje!
[emoji23][emoji23]
 
Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.

Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Kelele hapo stendi? Wewe wa hapohapo utakuwa na jibu.
Mbagala Rangitatu kipo cha Maji Poa.
 
Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.

Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Umeandika kama vile jf inatumika mtaani kwenu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakua ni MBAPE na KIMPEMBE wanachukua mazoezi ya kukimbia
 
Mkuu, kwa wanaoishi maeneo haya ya ubungo na sinza mida hiyo lazima waisikie, ni gari ya patrol usiombe wakikimbize huo usiku au wakukute maeneo ya maporini huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom