Hivi kipa wa Simba analaumiwa kwa lipi?

Mkuu kwa mtu aliye anza kushabikia mpira ukumbwani hawezi kulijua hili ,alafu kati ya makipa ambao huwa wanafungwa magoli ya kifala hapa tz manula anaongoza.
 
Tena Golikipa mwenyewe MSH3ENZI wamempa Miaka Miwili.

AONDOKE

magolikipa walitakiwa kuja Simba wote wameshindikana kwa sababu ya Simba kuchagua Rangi.

1. Walimuacha BONGE la Goal keeper WA Cameroon.

2. Walimuacha Golikipa mzuri akaenda KITAYOSE.
 
Ukweli ndo huooo...
Acheni kujadili mpila...
 
Kosa sio la kipa. Kulikua na shimo mbele ya mabeki kiasi jamaa alitaka kutoa pass alivyoona hafuatwi akasogea tena na tena mpaka alivyoona kaupenyo akapitisha mpira. Kipa alikuja kushtuka kashachelewa.

Kipa analaumkwa labda kwa sababu; kwa nn ashindwe kuokoa mpira kuficha mapungufu ya viungo na beki?

Huu msimu nauona simba upepo uko upande wake. Mnajua simba ni timu mbovu kweli lkn cha ajabu inapata matokeo na ngao ya jamii wanayo. Waliipateje, inabaki kua miujiza.

Hivi nyie yanga, kama mlishindwa kumgonga simba goli 5 finali ngao ya jamii, lini mtakuja kumfunga?
 
Mpila
Mpila
Mpila

Lugha gani hii?
 
Washabiki wengi wanakariri, uzembe wa kukaba na mpira kudunda mbele ya kipa. Timu nzima ilicheza ovyo kuanzia kocha.
 
Mkuu lakini anaye takiwa kumlinda mwenzake ni mabeki na sio kipa kulinda mabeki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…