Mbio za mita mia ni sprinting. Zinahitaji strengthh na muscles ili uweze kutumia your maximum strenght with in a very short period of time kumaliza mbio hizo fupi kabisa.. kama kina bolt..Lazma uwe na misuli na maguvu na uzito pia wa misuli (muscle weight) ndio maana utakuta bolt ana kilo karibu 90 wakati kipchoge ana kilo 57.... mbio ndefu za kina kipchoge zinahitaji endurance... uwezo wa kuhimili kukimbia at a constant pace kwa muda mrefu, hii haihitaji misuli wala weight maana utachoka mapema.. inahitaji mwili mdogo na energy ya kutosha kuweza kumaintain pace yako...mazoezi pia wanayofanya ni tofauti.. sprinters wako kutengeneza strength zaidi while marathoners wao wanatrain for emdurance zaidi... lishe zao pia ni tofauti...
Kipchoge anaweza kusprint, but hatoweza kushinda.. na pia bolt anaweza kucheza marathon na yeye pia hatashinda