sana tuKwani siku hizi amefulia?
Duuh umetisha kwa roho mbaya.
ila wahenga wanasema Funika kombe Mwanaharamu apite
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Ana haha kama koko tu siku hizi HASOMEKI hata kidogo.Kwani siku hizi amefulia?
Aisee naliona anguko la WCB kama ilivyo kwa kundi la Mkubwa na Wanawe linakuja!Ana haha kama koko tu siku hizi HASOMEKI hata kidogo.
Kwa hiyo bdozen ndo alikwmbia ivoAlikua ananunua tht,
Kama huamin maulize b dozen
Triple A
Na kweli wameamua cyo kwa mapovu ayo wanailazimisha jamii ionekane kweli jamaa kavurundaTeam Kiba kazini
Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
Ww anguko lako lipo lini au ndo mganga hajigangiAisee naliona anguko la WCB kama ilivyo kwa kundi la Mkubwa na Wanawe linakuja!
Hata wacha kuambiwa nlikuw naeKwa hiyo bdozen ndo alikwmbia ivo
Kuna kitu nyuma ya pazia this is too muchHuyu jamaa hajui hata mziki.Watu wanaimba nyimbo kulingana na uhitaji wa soko.Mziki ni biashara mwisho wa siku upate faida.Kama hukuelimishwa shule au na mama yako ukategemea mziki uje kukuelimisha umepoteza.
[HASHTAG]#eneka[/HASHTAG]
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app