KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,518
Mzee wahenga walisema ngoma ikivuma saaana hupasukaWw anguko lako lipo lini au ndo mganga hajigangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wahenga walisema ngoma ikivuma saaana hupasukaWw anguko lako lipo lini au ndo mganga hajigangi
Jibu swali mbona unazungukaMzee wahenga walisema ngoma ikivuma saaana hupasuka
Ninazunguka kuelekea wapi?Jibu swali mbona unazunguka
Post sent using JamiiForums mobile app
kauliza swali zuri SanaDuuh umetisha kwa roho mbaya.
ila wahenga wanasema Funika kombe Mwanaharamu apite
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Na kweli wameamua cyo kwa mapovu ayo wanailazimisha jamii ionekane kweli jamaa kavurunda
Usifunzwa utafunzwa lakini duniani usipojitunza hakuna atakayekutunzaHuyu jamaa hajui hata mziki.Watu wanaimba nyimbo kulingana na uhitaji wa soko.Mziki ni biashara mwisho wa siku upate faida.Kama hukuelimishwa shule au na mama yako ukategemea mziki uje kukuelimisha umepoteza.
[HASHTAG]#eneka[/HASHTAG]
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kumbe duh [emoji15] [emoji15] [emoji15]kuna dogo mmoja pale A.M records anaitwa keiza alimuandikia ule wimbo wa ukimuona akapewa pesa nusu sijui kama alimmalizia zingine, huyu dogo pia alikua akimuandikia jux mfano ule wimbo wa uzuri wako, pia kuna jamaa mmoja kavaa barghashia na kanzu kwenye ile video ya mbagala alimuandikia ule wimbo wa moyo wangu ila zingine walikua wanaandika wote lakini baadae kama walikuja gombana hv, in short zpo anazoandikiwa na zngne anaandika mwenyewe. waandishi wazuri wa nyimbo za bongofleva ni barnaba, amini,dogo ditto a marehemu udeude.
kuna dogo mmoja pale A.M records anaitwa keiza alimuandikia ule wimbo wa ukimuona akapewa pesa nusu sijui kama alimmalizia zingine, huyu dogo pia alikua akimuandikia jux mfano ule wimbo wa uzuri wako, pia kuna jamaa mmoja kavaa barghashia na kanzu kwenye ile video ya mbagala alimuandikia ule wimbo wa moyo wangu ila zingine walikua wanaandika wote lakini baadae kama walikuja gombana hv, in short zpo anazoandikiwa na zngne anaandika mwenyewe. waandishi wazuri wa nyimbo za bongofleva ni barnaba, amini,dogo ditto a marehemu udeude.
Wimbo wa moyo wng mond aliuandika kipindi anaelekea senegal kwny mambo za malaria maana icho kipindi mond alikuwa balozi wa malaria na kipindi anaandika wimbo huwo alikuwa na boss ruge wa clouds fm, ruge mashaidi, sasa unaposema aliandikiwa nani mwenye ukweli zaidi ww au yeye?kuna dogo mmoja pale A.M records anaitwa keiza alimuandikia ule wimbo wa ukimuona akapewa pesa nusu sijui kama alimmalizia zingine, huyu dogo pia alikua akimuandikia jux mfano ule wimbo wa uzuri wako, pia kuna jamaa mmoja kavaa barghashia na kanzu kwenye ile video ya mbagala alimuandikia ule wimbo wa moyo wangu ila zingine walikua wanaandika wote lakini baadae kama walikuja gombana hv, in short zpo anazoandikiwa na zngne anaandika mwenyewe. waandishi wazuri wa nyimbo za bongofleva ni barnaba, amini,dogo ditto a marehemu udeude.
Umeulizwa ww utashuka lini kimaendeleo au ww hujui kesho yako.Ninazunguka kuelekea wapi?
Naam, kesho yake huyo jamaa inadhihiri bila hata hesabu za kiunajimuUmeulizwa ww utashuka lini kimaendeleo au ww hujui kesho yako.
Bali unajua ya wenzio tu, yako huyajui
Post sent using JamiiForums mobile app
Na kamwe zama hazirudi nyumaMkuu mziki unaotaka kuusikia wewe kutoka kwa diamond nahisi muda umeshautupa mkono hizi ni zama zingine wacha watu tufaidi na ENEKA
Chibu katoa ngoma tatu jiji halijazizima..Ukaribu na Bashite noma[emoji53] kafulia angekuwa hapo alipo....
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app