DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
We mwamba unahitaji maombi ya moto!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu eti kipindi Kama hiki Ngoswe alikuwa Ameshapeleka Maombi ya Sensa?
Kipindi hiki Ngoswe alikuwa anasubiria post za kupangiwa kituo cha kazi ya ualimu na TamisemiWakuu eti kipindi Kama hiki Ngoswe alikuwa Ameshapeleka Maombi ya Sensa?
Alikua na majibu ameshapata, Wakati kama huu alikua anatafuta pamba na kuwaaga washkaji wa kitaaWakuu eti kipindi Kama hiki Ngoswe alikuwa Ameshapeleka Maombi ya Sensa?