Hili swali najua wengi wetu tunajiuliza sana, lkn ukilitafakar kisayansi zaid utaelewa kuwa hta vipofu nao huota....
Kwanza ndoto nyingi ni Imagination yan mambo ya kufikirika na source kubwa ni kutoka kwenye ubongo, kwahyo ss kama kipofu lazima atakua na njia ya utambuzi wa vitu either kwa kugusa, kusikia, kunusa au hata kulamba mana hizo ni njia kuu za ufahamu ukiondoa ya macho ambayo hawana,
Ss akiingia kulala ubongo hufanya kazi kubwa ya kurudia matukio ya mchana na kuumba vingine vingi hapo ss ndo ndoto nzima hutimia,
Natumain nimeeleweka kidogo....nikipata mda ntaweka uzi juu ya hili swala.
Lakin ngoja niwaache na challenge kidogo...
Je unauhakika gani jinsi uionavyo rangi ya blue ndivyo na mimi au mwingine aionavyo hivyo hiyo rangi ya blue!?
Tafakari pia tupeane majibu hapa....