Hongera mtoa mada; kwa hakika mada hii ibebainisha ukweli wa hizi kitchen party hazina maadili mema kwa muolewa na ndizo kwa kiasi zinachangia ndoa za leo kutodumu.Maana halisi ya hii sherehe imepotoshwa kwa kiasi kikubwa na kukosa umaana wake. Kitchen party(sherehe ya kumufunda mwali) ilikuwa ni ya kina mama tu waliokuwa na uelewa wa kufunda(kufundisha) mambo mema ya ndoa kwa muolewa; wamaume na watoto hawakuruhusiwa kabisa kuwepo; sasa leo sherehe inahusisha paka wanaume na watoto; pia imekuwa si yakufundisha mambo muhimu ya ndoa bali ni matusi tupu.Nafikili sasa jamii inahitaji kukumbushwa turudie utamaduni wetu.
Nafarijika kuona kumbe ni wengi tunakerwa na vurugu hizi za kitchen party, PAKAWA yeye ndio ameenda mbali zaidi, your msg is loud and clear, n I think our feeling is mutual!
Sasa, nafikiri umefika muda tuanzishe kampeni ya ku'barn' huu upuuzi, or else, warejee kwenye maana halisi ya wale wazee wetu waliojaa hekima na busara mpaka walipofikia kuanzisha ufundaji huu, hapo ndo tuyaruhusu kuendelea!
Nakubaliana na wachangia maada kama mwanamayu, Belinda, Fixedpt, Hero, Mkandya, 1st lady, Antibiotix, nk kuwa jamii yetu sasa inabidi irudie misaafu yake katika imani zao, & they 'd stick to their mafundisho.
Na kwa wale ambao Kitchen party is a MUST issue, kama Lady N, Mentee nk,basi they 'd review the puporse of its existence ili maana halisi na heshima yake irudi, ili hata inapotokea tunaaga home kwenda kwenye shughuli hizo basi jamii ituheshimu na kututhamini!
Thank you very much for giving me courage by letting me know that there is a lot of my fellow citzens that feel the same about this mada & they are ready to positively impact our motherland!
I salute you all!!!!