Hivi kitimoto huwa inafaa kutengenezewa mishikaki?

Hivi kitimoto huwa inafaa kutengenezewa mishikaki?

Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
Sehemu ninayojua wana ongoza kwa kuwa na mishkaki ya kila aina ya nyama ni FORODHANI ZANZIBAR. Naomba tuwaulize watu wa huko labda wanajua zaidi.
 
Sehemu ninayojua wana ongoza kwa kuwa na mishkaki ya kila aina ya nyama ni FORODHANI ZANZIBAR. Naomba tuwaulize watu wa huko labda wanajua zaidi.
HATA POMBE PALE NI ZA KUMWAGA.UNAFIKI MBAYA SANA! DADA KAVAA SURUALI YA JEANS KAJIFUNIKA BAIBUI
 
Bado hujanijibu swali langu mkuu ila umeleta maelezo mengine.

Kitimoto kinafaa kutengenezewa mishikaki?
Kitimoto kinachomwa mishikaki kama kawaida, nina ushuhuda wa jambo hilo.
Kuna utaalamu wake jinsi ya uchomaji, pia si kila sehemu ya mwili wa nguruwe kuna mafuta, hivyo mishikhaki inatengenezeka na miripuko ya mafuta inadhibitiwa kama inavyodhibitiwa kwa uchomaji wa nyama nono za mifugo wengine
Sehemu wanazofuga nguruwe kwa wingi zisizobanwa na mambo ya imani za kimadhehebu watakubaliana na mimi kwa kuwa mishikhaki ya nguruwe huchomwa na kuliwa hadharani.
 
K ya mtu huliwa mkuu au ulikuwa hujui.
Ila yenyewe haichomwi ka miskaki.
Sasa inayoonekana hapo katika image#3 ni ya binadamu. Ndomaana nikauliza K ya mtu huliwa kwa njia ya kubanikwa?
 
Mimi nadhani inafaa tena vizuri tu, na inapatikana katika baadhi ya maeneo, kinachofanya iadimike ni suala la kiimani kwa wenzetu wa upande wa pili, hata kama inapatikana lakini si kwa maeneo ya wazi kama mishikaki mingine inavyopatikana
 
Sio kitimoto tu kitamu.Vitu vyote vya haramu watumiaji yanasema vitam.Mfano:-madawa ya kulevya,pombe,uzinzi,kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile...
Na kumuingilia pia mwanaume kinyume pia
 
Back
Top Bottom