Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3Ã10^8m/s) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3×10^8m) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3×10^8m) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3×10^8m) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
wanasema ukubwa si kitu constant...kitu chochote kikienda speed ya mwanga au zaidi ukubwa wake utapungua tu infinity, vivyo hivyo uzito si kitu constant!!
Hizo ni theory za Einstein!!
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3×10^8m) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
si ni ule uzi wa time machine na time travel?dogo hebu nenda jamii intelligence kuna mada nzuri itakufunza kitu
Haiwezekani kufikia speed of light kwa kitu kikubwa kama tembo wakati hata electrons zenyewe tumeshindwa kuziaccelerate to that speed. it is theoretically impossible kwa sababu utahitaji infinite force na relative mass yako itakuwa zero meaning utakuwa huna mass (kilo). watu wengi hudhani utakuwa blackhole!
Na ukipita hapo unakuwa na negative mass (fikiria eti una kilo -50!?)....whatever that means!
wakuu nipo kwa mody physics nimesikia hii chogi sasa hv, kitu chochote mfano assume tembo akitembea kwa speed ya light(=3×10^8m) ataweza kupenya kweny kioo! Hv ni kweli?
nilikua na pupa ya kuandika mkuu, hlf najua hakuna kitu chochote cheny uzito kinachoweza kusafir with 3Ã10^8msâ¹ lkn nimechukulia as assumptionKulingana na Tapeli Einstein hakuna kitu chochote chenye uzito kinachoweza kusafiri kwa mwendokasi mkubwa kuliko ule wa mwanga (3*10^8 m/s)! Halafu isitoshe unit ya mwendokasi ni meta/sekunde (m/s) na Siyo meta tu kama kulivyoandika!
its just an assumption mkuu an elephant to travel with 3Ã10^8msâ¹.Si unajua in physics assumptions are acceptable!!kama utaweza kufikisha kitu kwa speed la light huyo tembo hatapasua kioo, but how...!!?
Kulingana na Tapeli Einstein hakuna kitu chochote chenye uzito kinachoweza kusafiri kwa mwendokasi mkubwa kuliko ule wa mwanga (3*10^8 m/s)! Halafu isitoshe unit ya mwendokasi ni meta/sekunde (m/s) na Siyo meta tu kama kulivyoandika!