Hivi kizaramo, kikwere na kidengereko ni lugha moja?

Hivi kizaramo, kikwere na kidengereko ni lugha moja?

Wakwere zamani walikuwa akijiita wazigua , hawakuwa na ujasiri wa kukubali kuwa wao ni wakwere sababu ya ubwa [emoji108]

Alipokuja Jakaya kuwa Rais wa JMT ndipo Sasa walau wakaanza kujitambulisha kama wakwere.

Lakini kabla ya hapo walikuwa wakijificha kwenye uzigua sababu ya ujirani kidogo kwa mbali.
Ubwa ndo Nini, napenda kujua maans yake.
 
Back
Top Bottom