Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,500
- 343
Mpenz wako anataka kusafiri, hakujua kama anaweza kwenda town, kapata chance ya kwenda, anakuomba mkutane, tena anasisitiza kuwa atasafiri, then we unamu ignore na kuona uko busy na kwamba u dnt care hata akisafiri mtaonana next time, haikuwa pouwah!
Kama ungepata fursa ungechomoka one time na ku mit nae, next time be reasonable, dnt b selfish, cz kama ulikuwa na mpango wa kukutana nae then thngs ddnt go wel bt as coincedence mkawa wote mko town then unge complete the mission.
Kama ungepata fursa ungechomoka one time na ku mit nae, next time be reasonable, dnt b selfish, cz kama ulikuwa na mpango wa kukutana nae then thngs ddnt go wel bt as coincedence mkawa wote mko town then unge complete the mission.