Mpenz wako anataka kusafiri, hakujua kama anaweza kwenda town, kapata chance ya kwenda, anakuomba mkutane, tena anasisitiza kuwa atasafiri, then we unamu ignore na kuona uko busy na kwamba u dnt care hata akisafiri mtaonana next time, haikuwa pouwah!
Kama ungepata fursa ungechomoka one time na ku mit nae, next time be reasonable, dnt b selfish, cz kama ulikuwa na mpango wa kukutana nae then thngs ddnt go wel bt as coincedence mkawa wote mko town then unge complete the mission.