Hivi kuachwa unajefeel vip

Hivi kuachwa unajefeel vip

hivi huyu mchumba wenu TF anachumbia wangapi,naona kama anawazunguka hivi...du! au macho yangu?

Ukistaajabu ya Musa(The Boss), utaona ya Firauni(Bishanga)!!! We inabidi ushangilie tu, nyie si ndo mnawapaga masomo kama haya!
 
Ukistaajabu ya Musa(The Boss), utaona ya Firauni(Bishanga)!!! We inabidi ushangilie tu, nyie si ndo mnawapaga masomo kama haya!
Kipipi sugarcake nilijua niko Jukwaa la Jokes kumbe niko MMU
 
Kipipi sugarcake nilijua niko Jukwaa la Jokes kumbe niko MMU

Halafu nawe ntakung'wenzi sasa hivi....lol!! Yaani mi nipo serious na we unaniletea mambo ya jokes hapa! Embu ramba kwanza glucose uongeze nguvu za kutype vizuri!! Hahahahahaaa we siku yenyewe ulinisingizia mie kumbe ni we ndo unakariri madesa ya infii!
 
Kuachwa kwakweli kunauma. Nina rafiki zangu wawili hao siku wameachwa jamani..........hadi niliwaonea huruma kwa jinsi walivyong'onyea!!
 
Wajanja hawaachwi hata siku moja; ukijua kusoma alama za nyakati nakuhakikishia utakuwa unaacha uachwi ng'o.
 
Wajanja hawaachwi hata siku moja; ukijua kusoma alama za nyakati nakuhakikishia utakuwa unaacha uachwi ng'o.

hahahahaaa haka kaujanja ni kazuri sana! Lakini kuumia kunakuwaje hata kama utawahi kumuacha mtu unayempenda??
 
Kukumdogo fafanua vizuri kuacha kivipi?kuachwa na gari au kuachwa na mpenzi/mke/mume.

last wikend basi la mohamedtrans liliniacha msamvu tho niltoka nalo dod0ma,so niliumia sana coz ckua na pesa,huku nako ni kuachwa
 
maumivu yanategemea na experience ya kuachwa uliyonayo na mapenzi yako kwa muhusika kwa wakati huo,
kama ulishatedwa sana na ukawa hauko deep kwa mpenzi wako ..basi hali haitakuwa mbay sana

Ila kama ndo haujawahi kutendwa na uliyenaye unampenda kupita maelezo ..hapo unaweza zimia na ukajuta kuishi
labda niongee kinyumbani " Kukemama shumbi kuwike mishareni " maana its unexplainable feeling duh hadi jasho yan
kweli kuachwa mi maumivu makali san sana
 
Back
Top Bottom