Hivi kuendelea kuvaa wigs kwa majaji na maspika wa mabunge ya Kenya siyo ukoloni wa kujitakia?

Kwani nani alikuambia kwamba kila mtu Afrika Mashariki ni Mswahili?
 
Ni ujinga tu mwafrika kujaribu kujifanya kwamba hataki tamaduni ya mzungu. kila kitu kuanzia viatu tunazovaa hadi tissue paper na condom tunazotumia ni teknolojia ya mzungu.
 
Na iyo simu unatumia hapo si ukoLoni?
Wewe Ni nugu
Kila kitu unatumia kwako Ni white man invention.
Ati White man invention, as if hakunaga black men inventions, kweli mmekuwa brainwashed, unajua simu ina particles ngapi, unajua ni black inventions ngapi zipo kwenye simu unayotumia.
Bunch of brainwashed black men, na mpo wengi sana.
 
Na iyo simu unatumia hapo si ukoLoni?
Wewe Ni nugu
Kila kitu unatumia kwako Ni white man invention.

Hehehe!!! Huwa ufala uliopitiliza mtu anasema yeye hajakoloniwa kwamba yupo huru ila anajiita Mtanzania, tuanzie tu hapo hilo kujiita Mtanzania tayari ni ukoloni maana mipaka imechorwa na mkoloni, hakukua na Utanzania wala Tanzania kabla ujio wa mkoloni, yeye alikuja akachora na kusema uitwe na kujiona Mtanzania...ujinga sana halafu unakuta mtu amevimbiwa ubwabwa anasema yeye yuko huru kila idara.
 
Kama hayo mawig hayawaletei maumivu ya kichwa wala kuwasha waendelee kuvaa tu.

Vitu vingine tuna-complicate tu.

Kama ni legacy ya ukoloni hiyo ipo tu, haikwepeki.
 
Ati White man invention, as if hakunaga black men inventions, kweli mmekuwa brainwashed, unajua simu ina particles ngapi, unajua ni black inventions ngapi zipo kwenye simu unayotumia.
Bunch of brainwashed black men, na mpo wengi sana.
Hakuna kitu chochote kwenye simu kilichovumbuliwa na Muafrika. Ukweli unachoma lakini ni ukweli. Kama hupendi kameze wembe.
 
Nimecheka kwa sauti kubwa mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…