Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
hapo tunatumia tafsida tumepunguza ukali wa maneno,ila maana halisi ya kugegeda ni kutafuna kitu kitamu kwa raha zote
Hata mimi ndivyo ninavyojua, mzizi ni Mrima, hususan Kiswahili cha kutoka Kizaramo.
Kugegeda ni kutafuna, mathalani kutafuna muhogo kwa mapande makubwa na kwa kufanya sauti kubwa .