Hivi Kujiunga NATO kuna faida gani

Hivi Kujiunga NATO kuna faida gani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Nchi ya Ukraine imeingia kwenye vita kwa nia ya kujiunga na kuongoza ushirikiano na umoja wa NATO jambo ambalo Urusi hawalitaki. Katikati ya vita hivi na madhara makubwa kwa nchi ya Ukraine yakishuhudiwa kote duniani,bado kuna mataifa jirani na Urusi kama vile Sweden na Finland zimekuwa zikijadili na kuongeza harakati za kujiunga na umoja huo unaoichukiza nchi ya Urusi.
Ni zipi faida za kujiunga na umoja huo kiasi cha mataifa ya Ulaya Mashariki, jirani na Urusi kujiweka hatarini kuharibu nchi zao.Kwa upande mwengine twaweza kujiuliza kwanini nchi nyingi zina kiherehere cha kujiunga na NATO ilhali watu wanaoishi Urusi wanaonekana kuishi maisha bora zaidi kuliko wanaoishi mataifa ya NATO.
 
hivi kwann na sisi tusijiunge na hao nato? au wakenya wataandamana?
 
Nchi ya Ukraine imeingia kwenye vita kwa nia ya kujiunga na kuongoza ushirikiano na umoja wa NATO jambo ambalo Urusi hawalitaki. Katikati ya vita hivi na madhara makubwa kwa nchi ya Ukraine yakishuhudiwa kote duniani,bado kuna mataifa jirani na Urusi kama vile Sweden na Finland zimekuwa zikijadili na kuongeza harakati za kujiunga na umoja huo unaoichukiza nchi ya Urusi.
Ni zipi faida za kujiunga na umoja huo kiasi cha mataifa ya Ulaya Mashariki, jirani na Urusi kujiweka hatarini kuharibu nchi zao.Kwa upande mwengine twaweza kujiuliza kwanini nchi nyingi zina kiherehere cha kujiunga na NATO ilhali watu wanaoishi Urusi wanaonekana kuishi maisha bora zaidi kuliko wanaoishi mataifa ya NATO.
kwani kujiunga ECOWAS, AU , East Africa Community nk kuna faida gani ?
 
Tujiunge moja moja na mwandishi wetu wa masuala ya siasa kutoka Kigali Rwanda.....
 
Nchi ya Ukraine imeingia kwenye vita kwa nia ya kujiunga na kuongoza ushirikiano na umoja wa NATO jambo ambalo Urusi hawalitaki. Katikati ya vita hivi na madhara makubwa kwa nchi ya Ukraine yakishuhudiwa kote duniani,bado kuna mataifa jirani na Urusi kama vile Sweden na Finland zimekuwa zikijadili na kuongeza harakati za kujiunga na umoja huo unaoichukiza nchi ya Urusi.
Ni zipi faida za kujiunga na umoja huo kiasi cha mataifa ya Ulaya Mashariki, jirani na Urusi kujiweka hatarini kuharibu nchi zao.Kwa upande mwengine twaweza kujiuliza kwanini nchi nyingi zina kiherehere cha kujiunga na NATO ilhali watu wanaoishi Urusi wanaonekana kuishi maisha bora zaidi kuliko wanaoishi mataifa ya NATO.
Maisha bora vipi ndugu? Naomba nieleweshe
 
kwani kujiunga ECOWAS, AU , East Africa Community nk kuna faida gani ?
Huwa tunajiunga kwa kufuata vivutio vya kiuchumi mambo mengine yanayotajwa.Huku NATO huwa wanajiunga tu kichwa kichwa bila kutaja faida zake tena katika hali ya hatari.Mtu anasema atatumbua nyuklia na wewe unasema nitajiunga tu.
 
Huwa tunajiunga kwa kufuata vivutio vya kiuchumi mambo mengine yanayotajwa.Huku NATO huwa wanajiunga tu kichwa kichwa bila kutaja faida zake tena katika hali ya hatari.Mtu anasema atatumbua nyuklia na wewe unasema nitajiunga tu.
hivi mambo ya usalama ni ya kichwa kichwa ?
 
Nchi ya Ukraine imeingia kwenye vita kwa nia ya kujiunga na kuongoza ushirikiano na umoja wa NATO jambo ambalo Urusi hawalitaki. Katikati ya vita hivi na madhara makubwa kwa nchi ya Ukraine yakishuhudiwa kote duniani,bado kuna mataifa jirani na Urusi kama vile Sweden na Finland zimekuwa zikijadili na kuongeza harakati za kujiunga na umoja huo unaoichukiza nchi ya Urusi.
Ni zipi faida za kujiunga na umoja huo kiasi cha mataifa ya Ulaya Mashariki, jirani na Urusi kujiweka hatarini kuharibu nchi zao.Kwa upande mwengine twaweza kujiuliza kwanini nchi nyingi zina kiherehere cha kujiunga na NATO ilhali watu wanaoishi Urusi wanaonekana kuishi maisha bora zaidi kuliko wanaoishi mataifa ya NATO.
Yaani Warusi wana maisha bora kuliko Wafaransa,Ujerumani,U.K na Marekani au hata Finland?
 
Huwa tunajiunga kwa kufuata vivutio vya kiuchumi mambo mengine yanayotajwa.Huku NATO huwa wanajiunga tu kichwa kichwa bila kutaja faida zake tena katika hali ya hatari.Mtu anasema atatumbua nyuklia na wewe unasema nitajiunga tu.
Wanajiunga kwa ajili ya Article 5 ya NATO na ndio hiyo Mrusi anaiogopa.
 
Back
Top Bottom